NAFASI Za Kazi Bukombe District Council

NAFASI Za Kazi Bukombe District Council
NAFASI Za Kazi Bukombe District Council
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe amepokea kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb.Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29.04.2025.
Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma
maombi nafasi Mpya za Kazi kama zilivyoainishwa kwa kuzingatia sifa tajwa Katika Tangazo hili.
Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DONWLOAD PDF HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
