MAGAZETI ya Leo Jumanne 24 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 24 June 2025
MAGAZETI ya Leo Jumanne 24 June 2025


Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuhamisha Kenan Laban Kihongosi kutoka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha akichukua nafasi ya Paul Christian Makonda.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais leo June 23 2025 haijatoa taarifa zaidi kuhusu Paul Makonda.
Hata hivyo taarifa hizi za mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa na Viongozi wengine wa ngazi mbalimbali Nchini zimekuja ikiwa ni siku chache tangu Rais Samia alipowataka Viongozi wanaotaka kwenda kugombea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 waandike barua za kuachia nafasi za uongozi wanazozishikilia kwa sasa.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
