YANGA Yamsajili Mohammed Doumbia

YANGA Yamsajili Mohammed Doumbia
YANGA Yamsajili Mohammed Doumbia
Klabu ya Young Africans imetajwa kukamilisha usajili wa kiungo hatari wa Slovan Liberec ya jamhuri ya Czech, Mohamed Doumbia raia wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 26.
Kutokana na kuhitaji kuimarisha kikosi chao kwa msimu ujao wa 2025/2026 Klabu hiyo imemsainisha Mohamed Doumbia mkataba wa miaka miwili.
Nyota huyo ambaye amemaliza mkatana na timu hiyo ya Czech anaweza akatua Yanga mwanzoni mwa mwezi ujao July 2025.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
