NAFASI Za Kazi Mafinga Town Council

NAFASI Za Kazi Mafinga Town Council
NAFASI Za Kazi Mafinga Town Council
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa fedha 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025.
Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi ya kazi katika nafasi
Zilizoanishwa hapa chini kwenye PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DOWNLOAD PDF YA TANGAZO HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
