WALIOCHAGULIWA Kujiunga na Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 2025/2026

Filed in Elimu by on 07.07.2025 3 Comments
Share This Post
WALIOCHAGULIWA Kujiunga na Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 2025/2026

WALIOCHAGULIWA Kujiunga na Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 2025/2026

WALIOCHAGULIWA Kujiunga na Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 2025/2026

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere anayo furaha kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa na Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2025/2026.

Chuo kinatoa mafunzo katika fani mbalimbali kuanzia ngazi ya Cheti, Diploma, Shahada na Shahada za Umahiri.

Hivyo, uwapo Chuoni utapata fursa ya kukuza ujuzi na uelewa katika masuala mbalimbali ya kitaaluma, kijamii, kimaadili na kiuongozi kwa kukutana na wanafunzi wa ngazi mbalimbali na wakufunzi waliobobea kwenye fani zao.

Chuo kitafunguliwa mwezi Oktoba 2025.

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD FOMU

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Comments (3)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. ALFA GODSON NGEREZA says:

    Mwalimu nyerere University

  2. Email yangu unasumbua kupata fomu ya majibu

  3. Maana selection zikitoka sitoweza kujua

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *