NAFASI Za Kazi TANROADS Iringa

NAFASI Za Kazi TANROADS Iringa
NAFASI Za Kazi TANROADS Iringa
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Iringa kwa niaba ya Mtendaji Mkuu TANROADS inatafuta Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi zilizo wazi inapatikana kwa Ujenzi wa Barabara ya Manispaa ya Iringa hadi Kiwango cha Lami (Km 7.3) Mkataba Na. TR36/005/2023/2024/W/58.
Hivyo basi, TANROADS inakusudia kuajiri watumishi wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi kwa mikataba iliyoainishwa kwa ajili ya miradi iliyotajwa katika fani zifuatazo.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BOFYA HAPA KUDOWNLOAD PDF
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
