MAJINA ya Wagombea Ubunge CCM 2025

MAJINA ya Wagombea Ubunge CCM 2025
MAJINA ya Wagombea Ubunge CCM 2025
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinapenda kuwajulisha wanachama wake na umma wa Watanzania kuwa, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katika kikao chake cha tarehe 23 Agosti, 2025 imefikira na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya wanachama wanaoomba nafasi za Ubunge na majina ya wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa majimbo na Viti Maalum.
Majina ya walioteuliwa Kugombea nafasi hizo Katika Uchaguzi Mkuu 2025 ni kama yalivyoanishwa hapa chini kwenye PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE CCM 2025
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
