TIA Selected Applicants 2025/2026

TIA Selected Applicants 2025/2026
TIA Selected Applicants 2025/2026
Chuo Cha Uhasibu Tanzania (TIA) ni taasisi iliyoanzishwa na serikali nchini Tanzania inayotoa elimu ya uhasibu, manunuzi na fani nyingine zinazohusiana na biashara katika kampasi mbalimbali, zikiwemo Dar es Salaam, Tanga na Mwanza.
TIA ilianzishwa mwaka wa 2002, dhamira ya TIA ni kutoa elimu bora, utafiti, na huduma za ushauri kwa sekta ya umma na ya kibinafsi, ikiwa na maono ya kuwa mtoaji mkuu wa elimu ya biashara barani Afrika.
hii hapa ni Orodha ya wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Chuo hicho Cha Uhasibu awamu ya Kwanza 2025/2026.
Kuona Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Chuo Uhasibu (TIA) tafadhali bonyeza link hapa chini Kudownload PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
