KIKOSI Cha Simba vs Gaborone United 20 September 2025

KIKOSI Cha Simba vs Gaborone United 20 September 2025
KIKOSI Cha Simba vs Gaborone United 20 September 2025
Simba SC itacheza mchezo wake wa Kwanza wa raundi ya awali ya CAF Champions League 2025/2026 dhidi ya Gaborone United ya Botswana Leo Jumamosi tarehe 20 September 2025 kwenye Uwanja wa Francistown nchini Botswana Kuanzia Saa 2:00 Usiku.
Kuelekea mchezo huo hiki hapa ni Kikosi Cha Simba SC kinachoanza dhidi ya Gaborone United.

KIKOSI Cha Simba vs Gaborone United 20 September 2025
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
