HEMED Suleiman Kocha wa Muda Simba SC

HEMED Suleiman Kocha wa Muda Simba SC
HEMED Suleiman Kocha wa Muda Simba SC
Klabu ya Simba imemtangaza Hemed Suleiman (Morocco) kuwa kocha mkuu wa muda kwenye michezo ya kimataifa.
Hatua hiyo imetokana na kuondoka kwa kocha Fadlu Davis na kocha msaidizi, Suleiman Matola kupewa kadi nyekundu kwenye mchezo dhidi ya Gaborone United.

HEMED Suleiman Kocha wa Muda Simba SC
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
