NAFASI Za Kazi TEMESA Tanzania

NAFASI Za Kazi TEMESA Tanzania
NAFASI Za Kazi TEMESA Tanzania
Kwa niaba ya Wakala wa Huduma za Umeme, Mitambo na Elektroniki Tanzania (TEMESA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye sifa zinazofaa kujaza nafasi kumi na tatu (13) kama zilizoanishwa hapa chini.
Nafasi Mpya 13 Za Kazi Kutoka TEMESA.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DONWLOAD PDF YA TANGAZO HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
