MABADILIKO ya Eneo la Usaili OATS Mkoa wa Ruvuma

MABADILIKO ya Eneo la Usaili OATS Mkoa wa Ruvuma
MABADILIKO ya Eneo la Usaili OATS Mkoa wa Ruvuma
Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili utakaofanyika kwa njia ya Mtandao (OATS) Mkoa wa Ruvuma mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya eneo la usaili.
Usaili utafanyika VETA- SONGEA badala ya Chuo cha Ualimu Songea kama ilivyoainishwa kwenye akaunti zenu za ajira portal.
Muda na tarehe utabaki hivyo hivyo kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?MABADILIKO USAILI SONGEA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
