MATOKEO Simba SC vs Fountain Gate 25 September 2025

Filed in Michezo by on 25.09.2025 0 Comments
Share This Post
MATOKEO Simba SC vs Fountain Gate 25 September 2025

MATOKEO Simba SC vs Fountain Gate 25 September 2025

MATOKEO Simba SC vs Fountain Gate 25 September 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Klabu ya Simba SC imeanza vyema
kampeni ya kusaka Ubingwa wa Ligi Kuu Msimu wa 2025/2026 baada ya kuibuka na Ushindi wa Mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo
uliopigwa Leo Alhamisi ya tarehe 25 September 2025 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam.

Bao la Kwanza lililofungwa na Rushine de Reuck dakika ya tano tu, Mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu uliopita Jean Charles Ahoua aliifungia Simba bao la pili dakika ya 36.

Bao la tatu la Simba lilifungwa na Simba mweusi Jonathan Sowah dakika ya 37.

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *