KUITWA Kwenye Usaili TANROADS, OTR, TPA, IFM, MDAs & LGAs na EASTC 27/09/2025

KUITWA Kwenye Usaili TANROADS, OTR, TPA, IFM, MDAs & LGAs na EASTC 27/09/2025
KUITWA Kwenye Usaili TANROADS, OTR, TPA, IFM, MDAs & LGAs na EASTC 27/09/2025
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), MDAs & LGAs, Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR), Chuo cha Takwimu
Mashariki mwa Afrika (EASTC) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 30/09/2025 hadi 24/10/2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo kwenye PDF hapa chini.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA – MAJINA YA NYONGEZA 27-09-2025
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA
Tags: IFM, KUITWA Kwenye Usaili TANROADS, MDAs & LGAs na EASTC 27/09/2025, OTR, TPA
