NAFASI Za Kazi TRA United Sports Club

NAFASI Za Kazi TRA United Sports Club
NAFASI Za Kazi TRA United Sports Club
TRA United Sports Club ni Klabu inayomilikiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kwa sasa inashiriki LIGI Kuu ya Tanzania (NBC Premier League)
Klabu hiyo ilianzishwa kwa malengo mbalimbali yakiwemo; Kuhamasisha Uzingatiaji wa Kodi ya hiari, Kutoa Elimu ya Ushuru, Kuimarisha Vipaji vya Michezo na Uimarishe Ushirikiano wa Majukumu ya Kijamii.
TRA United Sports Club inatarajia kuajiri wafanyakazi wenye sifa, mahiri na waadilifu kujaza nafasi za Mbalimbali zilizoanishwa hapa chini.
Kwa hivyo, maombi yanaalikwa kutoka Kutoka Kwa Watu wenye nia, ari pamoja sifa stahiki kujaza nafasi hizo kama ilivyoelezwa hapa chini kwenye PDF.
Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka TRA United Sports Club
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
