KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council

Filed in Usajili by on 03.10.2025 0 Comments
Share This Post
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kisarawe anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili Tarehe 08/10/2025 siku ya Jumatano katika Ukumbi wa Minaki Secondari.

Wasailiwa wote
wanaelekezwa kuzingatia muda wa kufika ukumbini bila kuchelewe.

Utaruhusiwa kuingia ukumbini nusu saa kabla ya mtiani/usaili kuanza kama inavyoonekana kwenye kundi lako hapa chini kwenye PDF.

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *