KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kisarawe District Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kisarawe anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili Tarehe 08/10/2025 siku ya Jumatano katika Ukumbi wa Minaki Secondari.
Wasailiwa wote
wanaelekezwa kuzingatia muda wa kufika ukumbini bila kuchelewe.
Utaruhusiwa kuingia ukumbini nusu saa kabla ya mtiani/usaili kuanza kama inavyoonekana kwenye kundi lako hapa chini kwenye PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
