KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Lindi Municipal Council

Filed in Usaili by on 03.10.2025 0 Comments
Share This Post

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Lindi Municipal Council

Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia
masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge
na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11
ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025,
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Lindi Mjini na Mchinga anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili Tarehe 07/10/2025 katika Ofisi za Kata walizoombea kuanzia saa 3:00 asubuhi.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

DONWLOAD PDF YA MAJINA HAPA

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *