VETA yaongeza Muda wa Kutuma Maombi Kwa Kozi za Muda Mrefu 2026

Filed in Elimu by on 04.10.2025 0 Comments
Share This Post
VETA yaongeza Muda wa Kutuma Maombi Kwa Kozi za Muda Mrefu 2026

VETA yaongeza Muda wa Kutuma Maombi Kwa Kozi za Muda Mrefu 2026

VETA yaongeza Muda wa Kutuma Maombi Kwa Kozi za Muda Mrefu 2026

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inapenda kuutangazia umma kuwa dirisha la udahili kwa kozi za muda mrefu katika vyuo vya VETA limeongezwa kuanzia tarehe 03 hadi tarehe 17 Oktoba, 2025.

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inapenda kuutangazia umma kuwa dirisha la udahili kwa kozi za muda mrefu katika vyuo vya VETA limeongezwa kuanzia tarehe 03 hadi tarehe 17 Oktoba, 2025.

Maombi yatafanyika kupitia mfumo (online application) wa VETMIS, unaopatikana kwenye tovuti ya VETA au kwa nakala ngumu (hard copy) za fomu zinazopatikana kwenye vyuo au tovuti ya VETA.

Malipo ya fomu ni Shilingi Elfu Tano tu (5,000) na yatalipwa kwa Namba ya Malipo (Control Number) ambayo itatolewa wakati wa kurejesha fomu chuoni au kuwasilisha kwenye mfumo.

Kwa waombaji wote waliokwisha kutuma maombi na kupokea Namba ya Malipo (Control Number) lakini bado hawajalipia, wanahimizwa kufanya malipo hayo ili kukamilisha usajili wao.
Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea tovuti ya VETA www.veta.go.tz, piga simu 0755 267489 au fika katika chuo cha VETA kilicho karibu nawe.

VETA yaongeza Muda wa Kutuma Maombi Kwa Kozi za Muda Mrefu 2026

VETA yaongeza Muda wa Kutuma Maombi Kwa Kozi za Muda Mrefu 2026

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *