NAFASI Za Kazi Barrick Mining Corporation

NAFASI Za Kazi Barrick Mining CorporationNAFASI Za Kazi Barrick Mining Corporation
Mgodi wa dhahabu wa North Mara upo Kaskazini Magharibi mwa Tanzania katika wilaya ya Tarime mkoani Mara.
Mgodi huo upo karibu kilomita 100 Mashariki mwa Ziwa Victoria na kilomita 20 kusini mwa mpaka wa Kenya.
Mgodi huo ni pamoja wa shimo la wazi na uendeshaji chini ya ardhi kutoka kwa amana mbili, Gokona (chini ya ardhi) na Nyabirama (shimo wazi).
Barrick Mining Corporation inatafuta kuajiri Wafanyakazi Mbalimbali, hivo unaweza kuona nafasi hizo Kwa kubofya Link hapa chini!
Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Barrick Mining Corporation
KUTUMA MAOMBI BONYEZA HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

Logistiic issue and other works