JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

Filed in Makala by on 31.12.2025 0 Comments
Share This Post
JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inawataarifu wananchi wote kuwa kwa sasa wanaweza kujua Namba yao ya Utambulisho wa Taifa (NIN) kwa urahisi kupitia ujumbe mfupi wa simu (SMS).

Hatua za Kufuata ili Kupata Namba ya NIDA

  • Fungua sehemu ya kutuma ujumbe (SMS) kwenye simu yako.
  • Andika ujumbe kwa mpangilio ufuatao:

Jina la Kwanza la Mwombaji weka* Jina la Mwisho la Mwombaji weka* Tarehe ya Kuzaliwa (Siku/Mwezi/Mwaka) weka* Jina la Kwanza la Mama weka* Jina la Mwisho la Mama weka

Tuma ujumbe huo kwenda namba 15274.

Huu hapa ni Mfano wa Ujumbe:
MUSA*JUMA*02031987*MARIAM*ALI

Baada ya kutuma ujumbe, utapokea majibu yatakayokuonyesha Namba yako ya Utambulisho wa Taifa (NIN).

Aidha Huduma hii ni BURE.

Zingatia: taarifa unazojaza ni zile zile ulizojaza kwenye Fomu ya NIDA Wakati wa Kujiandikisha, na Spelling zifanane kama ulivyojaza mwanzo unajiandikisha.

Kwa maelezo zaidi, wasiliana na NIDA kupitia:

Tovuti: www.nida.go.tz

Barua pepe: info@nida.go.tz

Mitandao ya kijamii: @nidatzania

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *