KUITWA Kwenye Usaili TARURA Tanzania

KUITWA Kwenye Usaili TARURA Tanzania
KUITWA Kwenye Usaili TARURA Tanzania
Kwa niaba ya Mtendaji Mkuu, Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kilimanjaro, inawakaribisha Wagombea wote walioteuliwa kuhudhuria usaili wa nafasi ya Udereva II utakaofanyika tarehe 29 na 30 Januari 2026, katika Chuo cha VETA Moshi saa 8:00 asubuhi.
Waombaji wanatakiwa kuwasilisha vyeti vyao halisi, vyeti vya kuzaliwa, Leseni Halali ya Kuendesha gari na Kitambulisho cha Taifa wakati wa Usaili. Orodha imeambatanishwa hapa chini kwenye PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DOWNLOAD PDF YA MAJINA HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
