NAFASI Za Kazi Bakhresa Group

NAFASI Za Kazi Bakhresa Group
NAFASI Za Kazi Bakhresa Group
Bakhresa Group ni kampuni ya viwanda yenye makao yake makuu nchini Tanzania, Afrika Mashariki.
Kampuni hiyo inamilikiwa na mfanyabiashara na bilionea wa Tanzania Said Salim Bakhresa, biashara hiyo ni mojawapo kubwa zaidi katika eneo hilo.
Kampuni hiyo inafanya shughuli zake nchini Tanzania Bara na Zanzibar, Kenya, Uganda, Malawi, Msumbiji, Zambia, Rwanda, Burundi, Zimbabwe na Afrika Kusini.
Kampuni hiyo inatafuta watu wenye nia Pamoja na sifa stahiki kujaza nafasi Mbalimbali zilizoanishwa Katika Tangazo hili.
Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Bakhresa Group
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DONWLOAD PDF HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

Mi ninahitaji kazi kwenye kampuni yenu Nina Kila sifa stahiki
Napatikan Dar
Mimi ni dereva kama ninawwza kupata kazi ya kusambaza bidha itakuwa fresh
Am looking for a job