NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania

NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania
NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania, iliyoanzishwa mwaka 1996 na yenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam ni kituo cha redio cha Kikatoliki ambacho ni sehemu ya kituo cha kimataifa cha Mtandao wa Familia ya Radio Maria Duniani.
Lengo la Radio Maria Tanzania ni uinjilisti, maombi, na maendeleo ya binadamu, ikifanya kazi chini ya usimamizi huru kwa ufadhili kutoka kwa michango ya wasikilizaji badala ya matangazo.
Radio Maria Tanzania inatafuta Watu wenye nia, ari pamoja na sifa tajwa kujaza nafasi zilizoanishwa hapa chini kwenye PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DONWLOAD PDF HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
