HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada ‘March Intake’ 2025/2026

HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada ‘March Intake’ 2025/2026
HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada ‘March Intake’ 2025/2026
Dirisha la maombi ya mikopo ya Stashahada kwa ‘March Intake’ mwaka wa masomo 2025/2026
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawatangazia wanafunzi wa stashahada watakaodahiliwa mwezi Machi (March Intake) kwamba dirisha la maombi ya mikopo ya stashahada litafunguliwa kuanzia tarehe 15/02/2026 hadi tarehe 15/03/2026 kwa wanafunzi wanaotarajia kuomba mikopo katika maeneo ya kipaumbele yaliyoainishwa kwenye mwongozo wa stashahada wa mwaka 2025/2026.
Wanafunzi wanaotarajia kujiunga kwenye programu za kipaumbele wanashauriwa kutumia fursa ya kuomba mikopo kwa kuzingatia vigezo vilivyomo kwenye mwongozo unaopatikana www.heslb.go.tz
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA
Tags: HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada 'March Intake' 2025/2026
