NAFASI Za Kazi dnata Tanzania

NAFASI Za Kazi dnata Tanzania
NAFASI Za Kazi dnata Tanzania
dnata nimtoa huduma za anga na usafiri duniania mbayo imepanua shughuli zake nchini Tanzania, hususan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (ZNZ).
dnata wanatoa huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na utunzaji wa ardhi, utunzaji wa mizigo, na huduma za abiria, na wanawekeza katika miundombinu kama kituo kipya cha mizigo na vifaa vya hali ya juu.
dnata pia inajihusisha na sekta ya utalii Zanzibar kupitia biashara zao za usafiri.
dnata wanatafuta watu wenye nia, ari pamoja na sifa stahiki kujaza nafasi Mbalimbali zilizoanishwa Katika Tangazo hili.
Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Emirates/dnata Tanzania.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?KUTUMA MAOMBI BOFYA HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
