NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania

NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania
NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania
Vision imekua moja ya mashirika makubwa ya kibinadamu na maendeleo nchini Tanzania, ambayo imejitolea kulinda na kutunza watoto na wale wanaohitaji.
Lengo World Vision nchini Tanzania ni kuchangia katika uboreshaji unaopimika na ustawi endelevu wa wasichana na wavulana milioni 15-hasa walio hatarini zaidi.
Wold Vision inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki kujaza nafasi mbalimbali zilizoainishwa Katika Tangazo hili.
Kuona nafasi zilizotangazwa Pamoja na Jinsi ya Kutuma Maombi tafadhali bonyeza link hapa chini.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?KUTUMA MAOMBI BONYEZA HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

Mimi niitwa daudi Salumu hamisi elimu yangu dalasa lasaba napia ninacheti cha NIT na lesseni yangu A B C1 C2 C3 D E natafuta kazi ya udereva napatikana dar es Salaam naomba yangu ni 0758594859 asante
Naomba nafasi za kazi naahidi nitakuwa mwaminifu Kwa kira kazi nitakayo pangiwa na viongozi wangu nimehitimu elimu digree ya sheria
Naomba nafasi ya kazi na ninaahidi nitakuwa mwaminifu Kwa kila kazi nitakayo pangiwa nimehitimu elimu digree ya sheria
Niatwa Hillary David natafuta kaz ya usales mim n dreva pia ni sales na pia mimi ni fundi wa magari aghasante nitakuwa mwaminifu