NAFASI Za Kazi Uchumi Bank Ltd

NAFASI Za Kazi Uchumi Bank Ltd
NAFASI Za Kazi Uchumi Bank Ltd
Benki ya Biashara ya Uchumi (Uchumi Bank (UCB) Ltd ni benki ya biashara iliyosajiliwa nchini Tanzania, iliyoanzishwa kama mpango wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini (KKKT-ND) ikiwa na makao yake makuu Moshi, Kilimanjaro.
Benki hiyo hutoa huduma za benki za kibiashara, ikiwa ni pamoja na akaunti za akiba (km, akaunti ya #kibubu), mikopo, na huduma za kidijitali na inatambulika kama taasisi ya kifedha ya ndani.
Benki hiyo inatafuta watu wenye nia, ari pamoja na sifa tajwa kama ilivyoanishwa hapa chini.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?TUMA MAOMBI HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
