NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania

Filed in Ajira by on 11.03.2026 0 Comments
Share This Post
NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania

NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania

NAFASI Za Kazi Radio Maria Tanzania

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Radio Maria Tanzania, iliyoanzishwa mwaka 1996 na yenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam ni kituo cha redio cha Kikatoliki ambacho ni sehemu ya kituo cha kimataifa cha Mtandao wa Familia ya Radio Maria Duniani.

Lengo la Radio Maria Tanzania ni uinjilisti, maombi, na maendeleo ya binadamu, ikifanya kazi chini ya usimamizi huru kwa ufadhili kutoka kwa michango ya wasikilizaji badala ya matangazo.

Radio Maria Tanzania inatafuta Watu wenye nia, ari pamoja na sifa tajwa kujaza nafasi zilizoanishwa hapa chini kwenye PDF.

DONWLOAD PDF HAPA

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *