REFA Ashushwa Daraja Kisa Diarra

REFA Ashushwa Daraja Kisa Diarra
REFA Ashushwa Daraja Kisa Diarra
Refa wa mchezo Kati ya Yanga na Mtibwa Sugar, Gilbert Mrina Kutoka Kilimanjaro, ameshushwa daraja kwa kosa la kushindwa kumchukulia hatua Djigui Diarra kwa utovu wa nidhamu alioonyesha katika mchezo huo.
Refa msaidizi Katika mchezo huo, Abdulaziz Ally Kutoka Arusha yeye amefungiwa mizunguko mitano kwa kosa la kushindwa sheria ya kuotea.
