MABORESHO Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2025/2026

MABORESHO Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2025/2026
MABORESHO Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2025/2026
Bodi ya Ligi kuu ya NBC Tanzania bara imefanya maboresho ya ratiba ya Ligi hiyo kwa msimu wa 2025/2026 ambapo mchezo wa dabi ya pili ya Kariakoo kwenye Ligi utapigwa Mei 3, 2026.
Dabi ya pili ya Mzizima Kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya Simba Sc itapigwa Aprili 5, 2026 katika dimba la Benjamin Mkapa huku Dabi ya Jiji la Dar es Salaam Kati ya wenyeji, Young Africans SC dhidi ya Azam FC ikitarajiwa kupigwa Juni 24, 2026.



