Usajili

NAFASI Za Kujiunga na VETA Kwa Kozi za Muda Mrefu Chuo Cha Tehama Veta Kipawa 2026

Filed in Usajili by on 01.03.2026 0 Comments
NAFASI Za Kujiunga na VETA Kwa Kozi za Muda Mrefu Chuo Cha Tehama Veta Kipawa 2026

NAFASI Za Kujiunga na VETA Kwa Kozi za Muda Mrefu Chuo Cha Tehama Veta Kipawa 2026 Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inakaribisha maombi ya kujiunga na Elimu na Mafunzo ya Ufundi Sanifu Ngazi ya Cheti (NTA level 4) kwa mwaka wa mafunzo utakaonza Machi 2026 kwenye chuo cha TEHAMA VETA KIPAWA […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili MUHAS 21/02/2026

Filed in Usajili by on 21.02.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili MUHAS 21/02/2026

KUITWA Kwenye Usaili MUHAS 21/02/2026 Makamu Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 25/02/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD […]

Continue Reading »

VITUO vya Usaili wa Mahojiano kwa Walimu 14/02/2026

Filed in Usajili by on 12.02.2026 0 Comments
VITUO vya Usaili wa Mahojiano kwa Walimu 14/02/2026

VITUO vya Usaili wa Mahojiano kwa Walimu 14/02/2026 Vituo vya Usaili wa Mahojiano Kwa Walimu wa Masomo ya Amali, Fizikia, Hisabati na Mkaguzi wa ndani Daraja la II (Internal Auditor II) utakaofanyika tarehe 14 February, 2026 Wasailiwa wote watakaofanya usaili wa mahojiano wanapaswa kuzingatia vituo vya usaili vilivyoainishwa kwenye kiambatisho hapo  chini. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika […]

Continue Reading »

RAIS Mhe. Dkt. Samia Afanya Mabadiliko ya Muundo wa Wizara Mbili na Uteuzi Mbalimbali

Filed in Usajili by on 07.02.2026 0 Comments
RAIS Mhe. Dkt. Samia Afanya Mabadiliko ya Muundo wa Wizara Mbili na Uteuzi Mbalimbali

RAIS Mhe. Dkt. Samia Afanya Mabadiliko ya Muundo wa Wizara Mbili na Uteuzi Mbalimbali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya muundo wa Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji na Wizara ya Nishati kwa Wizara hizo kuwa na Makatibu Wakuu wawili kwa kila Wizara, kuteua na […]

Continue Reading »

BUBA Jammeh ni Mwananchi

Filed in Usajili, Michezo by on 31.01.2026 0 Comments
BUBA Jammeh ni Mwananchi

BUBA Jammeh ni Mwananchi Klabu ya Young Africans imekamilisha usajili wa winga wa kulia, Buba Jammeh, mwenye umri wa miaka 24, kutoka Wiliete Interclube ya Kwao Angola. Jammeh, ambaye anatarajiwa kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji, amesaini mkataba wa miaka miwili na mabingwa hao wa Tanzania. Buba Jammeh ni mchezaji mwenye spidi nzuri na uwezo […]

Continue Reading »

Anicet Oura ni Mnyama

Filed in Usajili by on 26.01.2026 0 Comments
Anicet Oura ni Mnyama

Anicet Oura ni Mnyama Karibu Simba SC, Anicet Oura. Klabu ya Simba Simba Sports Club imekamilisha usajili wa winga, Alain Anicet Oura Kutoka IF Gnistan ya nchini Finland. Anicet Oura mwenye Umri wa miaka 26 amewahi kuzitumikia klabu za ASEC Mimosas (Ivory Coast) na Stellenbosch SC (Afrika Kusini). Oura anajiunga na Wekundu wa Msimbazi Kwa […]

Continue Reading »

CLATOUS Chotta Chama arejea Simba SC

Filed in Michezo, Usajili by on 20.01.2026 0 Comments
CLATOUS Chotta Chama arejea Simba SC

CLATOUS Chotta Chama arejea Simba SC Klabu ya Simba imetangaza kumrejesha kiungo Clatous Chotta Chama ‘Mwamba wa Lusaka’. Chama amerejea Simba baada ya msimu mmoja na nusu tangu aachane na Klabu hiyo. Chama amesaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu, akitambulishwa muda mfupi baada ya kukamilika Kwa mchezo wa Ligi Kuu Kati ya Singida BS […]

Continue Reading »

RASMI Nickson Kibabage ni Mnyama

Filed in Michezo, Usajili by on 19.01.2026 0 Comments
RASMI Nickson Kibabage ni Mnyama

RASMI Nickson Kibabage ni Mnyama Klabu ya Simba imetambulisha usajili wa beki wa kushoto Nickson Kibabage. Kibabage ametua kwa Wekundu hao wa Msimbazi akitokea klabu ya Singida Black Stars. Beki huyo wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ mwenye Umri wa miaka 25 amewahi kucheza soka la kulipwa nchini Morocco kabla ya kurejea nchini […]

Continue Reading »

OSMAIL Olivier Toure Kutua Simba SC

Filed in Michezo, Usajili by on 18.01.2026 0 Comments
OSMAIL Olivier Toure Kutua Simba SC

OSMAIL Olivier Toure Kutua Simba SC Klabu ya Simba inatajwa kukamilisha usajili wa beki wa kati, Osmail Olivier Toure kutoka klabu ya Baniyas ya UAE. Toure raia wa Ivory Coast mwenye Umri wa miaka 28, kabla ya kuelekea Arabuni aliitumikia klabu ya Stellenbosch iliyokuwa ikinolewa na kocha Steve Barker. Toure pia amewahi kuzitumikia Marumo Gallants […]

Continue Reading »

MAHAMOUD Tanja Kassila mrithi wa Moussa Camara Simba SC

Filed in Michezo, Usajili by on 18.01.2026 0 Comments
MAHAMOUD Tanja Kassila mrithi wa Moussa Camara Simba SC

MAHAMOUD Tanja Kassila mrithi wa Moussa Camara Simba SC Rasmi mlinda lango Moussa Camara hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba baada ya klabu hiyo kukamilisha usajili wa golikipa, Mahamoud Tanja Kassila. Kassila ametua Simba kuchukua nafasi ya Camara ambaye majeraha yamepelekea kuondolewa kikosini akitokea klabu ya AS FAN ya kwao Niger. Kocha Mkuu wa Simba […]

Continue Reading »