MAGAZETI ya Leo Ijumaa 19 September 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 19 September 2025
MAGAZETI ya Leo Ijumaa 19 September 2025
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa Septemba 18, 2025.
Tanzania imedondoka kwa nafasi kutoka ya 103 ambayo ilikuwepo awali hadi nafasi ya 107 kwa viwango vilivyotolewa leo na FIFA.
Kufanya vibaya kwa Taifa Stars katika mechi mbili zilizopita za kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026, kumeonekana kuchangia kwa kiasi kikubwa kuiangusha katika viwango vipya vya ubora wa soka.
