Makala

JINSI ya Kusajili Leseni ya Biashara online

Filed in Makala by on 20.02.2026 0 Comments
JINSI ya Kusajili Leseni ya Biashara online

JINSI ya Kusajili Leseni ya Biashara online Tausi Portal ni mfumo rasmi wa kidijitali wa Serikali za Mitaa Tanzania (TAMISEMI) ulioundwa kurahisisha ukusanyaji wa mapato. Mfumo huu https://tausi.tamisemi.go.tz/ unawawezesha wananchi na wafanyabiashara kulipia huduma mbalimbali kama leseni za biashara, ushuru wa maegesho, na kodi za majengo kwa njia ya mtandao. Hapa chini ni hatua kwa […]

Continue Reading »

HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada ‘March Intake’ 2025/2026

Filed in Elimu, Makala by on 12.02.2026 0 Comments
HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada ‘March Intake’ 2025/2026

HESLB Kufunguliwa dirisha la Maombi ya Mikopo ya Stashahada ‘March Intake’ 2025/2026 Dirisha la maombi ya mikopo ya Stashahada kwa ‘March Intake’ mwaka wa masomo 2025/2026 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawatangazia wanafunzi wa stashahada watakaodahiliwa mwezi Machi (March Intake) kwamba dirisha la maombi ya mikopo ya stashahada litafunguliwa kuanzia […]

Continue Reading »

SERIKALI yatoa tamko kima cha chini cha Mishahara Sekta binafsi

Filed in Makala by on 18.01.2026 0 Comments
SERIKALI yatoa tamko kima cha chini cha Mishahara Sekta binafsi

SERIKALI yatoa tamko kima cha chini cha Mishahara Sekta binafsi Serikali imetoa tamko kuhusu amri ya kima cha chini cha Mshahara kwa Sekta Binafsi na kuwataka waajiri na wafanyakazi wa sekta hiyo kuzingatia viwango vilivyowekwa katika utekelezaji wa amri hiyo. Hayo yamebainishwa Januari 16, 2025 Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu […]

Continue Reading »

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi

Filed in Makala by on 18.01.2026 0 Comments
VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi Sheria ya Taasisi za Kazi, Sura 300 pamoja na mambo mengine, imempa mamlaka Waziri mwenye dhamana na masuala ya kazi kuunda Bodi ya Kima cha Chini cha Mshahara kwaajili ya kufanya utafiti na kushauri kuhusu viwango vya chini vya mshahara pamoja na masharti mengine ya kazi. Itakumbukwa kuwa […]

Continue Reading »

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

Filed in Ajira, Makala by on 14.01.2026 0 Comments
JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi Kupitia Ajira Portal Mfumo wa Ajira wa Serikali ni Mfumo unaopokea Maombi Mbalimblai kila Siku kwa nafasi zinazotangazwa na sekretarieti ya ajira UTUMISHI na Utawala Bora. Katika Makala hii Nijuze Habari imekuandalia namna na Jinsi ya Kujisajili Katika Tovuti ya Ajira Tanzania portal.ajira.go.tz Pamoja na Jinsi ya Kutuma Maombi […]

Continue Reading »

MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba

Filed in Ajira, Makala by on 14.01.2026 0 Comments
MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba

MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba Kuingia Ndani ya Mfumo huu lazima uwe na namba ya NIDA au barua pepe uliyotumia kujisajili kama jina la mtumiaji (username) Kwa wale ambao washajisajili Katika Mfumo huu.     Maelekezo Kwa Waombaji wapya  Tafadhali chagua aina ya maombi ya ajira kama ni AFYA au ELIMU Kama ni muombaji mpya bofya […]

Continue Reading »

MALIPO na Posho Mpya Za Wanaojitolea 2026

Filed in Makala by on 02.01.2026 0 Comments
MALIPO na Posho Mpya Za Wanaojitolea 2026

MALIPO na Posho Mpya Za Wanaojitolea 2026 Serikali imeweka utaratibu wa kusimamia malipo na posho kwa Vijana wa Kujitolea wanaofanya kazi ndani ya Taasisi za Umma, kwa lengo la kuhakikisha wanapata msaada wa kujikimu wakati wa kipindi cha kujitolea na kuepusha migogoro ya kiutawala. Utumiaji wa vijana wa kujitolea ndani ya Taasisi za Umma utahusisha […]

Continue Reading »

MWONGOZO wa kujitolea katika Utumishi wa Umma

Filed in Makala by on 02.01.2026 0 Comments
MWONGOZO wa kujitolea katika Utumishi wa Umma

MWONGOZO wa kujitolea katika Utumishi wa Umma Mwongozo wa kujitolea katika Utumishi wa Umma ni nyenzo muhimu inayoweka utaratibu wa kuzingatiwa kwa Taasisi za Umma na Vijana wanaomaliza Vyuo na kuomba nafasi za kujitolea ili kujipatia ujuzi na uzoefu wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na Serikali wakati wanasubiri kuajiriwa. Kwa kipindi chote kumekuwepo na utaratibu usio […]

Continue Reading »

JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

Filed in Makala by on 31.12.2025 0 Comments
JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inawataarifu wananchi wote kuwa kwa sasa wanaweza kujua Namba yao ya Utambulisho wa Taifa (NIN) kwa urahisi kupitia ujumbe mfupi wa simu (SMS). Hatua za Kufuata ili Kupata Namba ya NIDA Fungua sehemu ya kutuma ujumbe (SMS) kwenye simu yako. […]

Continue Reading »

MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal

Filed in Makala by on 30.12.2025 0 Comments
MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal

MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal Barua ya kuomba kazi ni waraka ambao mara nyingi husomwa kabla ya waraka mwingine wowote unaoambatanishwa katika uombaji Kazi ambazo ni lazima uandike Barua. Ni vyema barua hii ikaandaliwa kwa umakini, huku ikijaribu kugusa kwa ufupi mambo yaliyoonekana kwenye wasifu binafsi. Haya ni Mambo ya Kuzingatia Katika […]

Continue Reading »