Ajira

NAFASI Za Kazi Kilombero Sugar LTD

NAFASI Za Kazi Kilombero Sugar LTD

NAFASI Za Kazi Kilombero Sugar LTD Kampuni ya Kilombero Sugar Company Limited (KSCL), ndiye mzalishaji mkubwa zaidi wa sukari chini, jina kali la chapa ya “Bwana Sukari”. Kampuni hiyo ipo Kidatu ndani ya Bonde la Kilombero na inamiliki mashamba mawili ya kilimo na viwanda vya kusaga sukari; Msolwa na Ruembe zilizopo katika Wilaya za Kilombero […]

Filed in Ajira by on 13.11.2025 3 Comments
NAFASI Za Kazi Iringa Municipal Council

NAFASI Za Kazi Iringa Municipal Council

NAFASI Za Kazi Iringa Municipal Council Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi sita (06) za kazi katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF HAPA

Filed in Ajira by on 13.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Bukombe District Council

NAFASI Za Kazi Bukombe District Council

NAFASI Za Kazi Bukombe District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Bukombe anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi kumi na tatu (13) za kazi katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini.  

Filed in Ajira by on 13.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Mbogwe District Council

NAFASI Za Kazi Mbogwe District Council

NAFASI Za Kazi Mbogwe District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Mbogwe anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi (09) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF HAPA

Filed in Ajira by on 13.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Mwananchi Communications Ltd

NAFASI Za Kazi Mwananchi Communications Ltd

NAFASI Za Kazi Mwananchi Communications Ltd Company Overview Mwananchi Communications Limited (MCL), a subsidiary of Nation Media Group (NMG), is Tanzania’s largest independent news network with an award-winning presence in print and digital media, and exciting new ventures in innovation and events ecosystems. We are publishers of leading national news brands Mwananchi, The Citizen and […]

Filed in Ajira by on 13.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi AB InBev/TBL Tanzania

NAFASI Za Kazi AB InBev/TBL Tanzania

NAFASI Za Kazi AB InBev/TBL Tanzania Anheuser-Busch InBev SA/NV inayojulikana kama AB InBev ni kampuni ya kimataifa ya Kiamerika-Ubelgiji ya kutengeneza vinywaji na kutengeneza pombe yenye makao yake makuu huko Leuven, Ubelgiji. AB InBev ni mtengenezaji wa bia kubwa zaidi duniani na mwaka wa 2023, aliorodheshwa katika nafasi ya 72 katika Forbes Global 2000. Shughuli […]

Filed in Ajira by on 13.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Ngazi ya Shahada ya Uzamili Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani 2026/2027

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Ngazi ya Shahada ya Uzamili Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani 2026/2027

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Ngazi ya Shahada ya Uzamili Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani 2026/2027 FURSA ZA UFADHILI WA MASOMO KATIKA NGAZI YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTER’S DEGREE) Ubalozi unapenda kuwaarifu Watanzania kuhusu uwepo wa fursa za ufadhili wa masomo katika ngazi ya Shahada ya Uzamili (Master’s Degree) kwa mwaka wa masomo 2026/2027 katika […]

Filed in Ajira by on 12.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Aga Khan University

NAFASI Za Kazi Aga Khan University

NAFASI Za Kazi Aga Khan University ✅Position: Farm Manager Job Purpose/Summary The Farm Manager will have a crucial role in ensuring the smooth running of the nursery, reforestation, and farm-related activities to meet the long-term objective of environmental sustainability of the Arusha site as well as the greening initiatives of AKU. These will be achieved […]

Filed in Ajira by on 12.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi TCB Bank Plc

NAFASI Za Kazi TCB Bank Plc

NAFASI Za Kazi TCB Bank Plc Tanzania Commercial Bank zamani TPB Bank Plc ni benki ya biashara nchini Tanzania inayotoa huduma za kifedha za kiushindani kwa wateja na kujenga thamani kwa wadau kupitia bidhaa za kibunifu zenye maono ya “kuwa benki inayoongoza nchini Tanzania katika utoaji wa huduma za kifedha kwa bei nafuu, zinazofikika. Benki hiyo […]

Filed in Ajira by on 12.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Longido District Council

NAFASI Za Kazi Longido District Council

NAFASI Za Kazi Longido District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na saba (17) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF HAPA

Filed in Ajira by on 12.11.2025 0 Comments

Kuitwa Kazini

KUITWA Kazini Rombo District Council 12/11/2025

KUITWA Kazini Rombo District Council 12/11/2025

KUITWA Kazini Rombo District Council 12/11/2025 Kutokana na Usaili Ulioanyika tarehe 26/03/2025 Kwa Kazi ya Ukusanyaji wa Mapato Katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, Mkurugenzi Mtendaji anawataarifu Washindi wa Kundi la Kwanza Kuripoti Kazini tarehe 14/11/2025 Aidha, Wahusika Wote Wafike na Vyeti Vyao Halisi, Kitambulisho Cha Taifa na Passport. DONWLOAD PDF HAPA

Filed in Kuitwa Kazini by on 12.11.2025 0 Comments
MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Manyara

MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Manyara

MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Manyara Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza Matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) Mwaka 2025 Kwa Mkoa wa Manyara. Ili kuona Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Manyara tafadhali bonyeza link hapa chini. MATOKEO DARASA LA SABA 2025 MANYARA

Filed in Kuitwa Kazini by on 05.11.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mbeya District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mbeya District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mbeya District Council Kwa madhumuni ya uendeshaji wa Uchaguzi Mkuu na kwa kuzingatia masharti ya Kanuni ya 12(2) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025 Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbeya Vijijini anawatangazia Vituo wafuatao kuwa wamechaguliwa kwa nafasi ya Wasimamizi wa Wasimamizi […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 24.10.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kilindi District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kilindi District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kilindi District Council Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kilindi anawajulisha Watendaji wote waliofaulu usaili kuhudhuria Semina/Mafunzo kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu kuanzia tarehe 25 Oktoba, 2025 hadi tarehe 27 Oktoba, 2025 katika Kumbi mbalimbali kama itakavyochanganuliwa hapa chini. DONWLOAD HAPA PDF YA MAKARANI DONWLOAD HAPA PDF YA WASIMAMIZI

Filed in Kuitwa Kazini by on 24.10.2025 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Council Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Sumbawanga Mjini anawajulisha Watendaji wote waliofaulu usaili kuhudhuria Semina/Mafunzo kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu kuanzia tarehe 25 Oktoba, 2025 hadi tarehe 27 Oktoba, 2025 katika Kumbi mbalimbali kama itakavyochanganuliwa hapa chini. Watendaji hao watakaohudhuria mafunzo haya ni Wasimamizi wa […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 24.10.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ushetu District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ushetu District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ushetu District Council Kwa mujibu wa kanuni ya 10 (1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Ushetu anawatangazia waombaji wa nafasi za usimamizi wa vituo, usimamizi usaidizi, na ukarani uongozaji wa vituo vya kupigia kura waliofaulu usaili […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 24.10.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Momba District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Momba District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Momba District Council Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Momba anapenda kuwatangazia wale wote waliochaguliwa baada ya usaili kuwa kutakuwa na mafunzo ya uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani katika Jimbo la Momba kuanzia tarehe 25.10.2025 hadi tarehe 27.10.2027 Mgawanyo wa vituo vya mafunzo utakuwa kama ifuatavyo Mafunzo kwa […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 24.10.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kinondoni Municipal Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kinondoni Municipal Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Kinondoni Municipal Council Kwa madhumuni ya uendeshaji wa Uchaguzi Mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na.1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 24.10.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Iramba District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Iramba District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Iramba District Council Kwa madhumuni ya uendeshaji wa Uchaguzi Mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 23.10.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Biharamulo District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Biharamulo District Council

KUITWA Kazini Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Biharamulo District Council Kwa barua hii, ninapenda kuwataarifu kuwa waombaji wa nafasi ya Msimamizi wa Kituo, Msimamizi Msaidizi na Karani Mwongozaji Wapiga kura, wameteuliwa kwa ajili ya kusimamia zoezi la Uchaguzi katika vituo vya kupigia kura Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Aidha, Makarani wote walioteuliwa watapata mafunzo tarehe 25/10/2025 […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 23.10.2025 0 Comments

Michezo

MSIMAMO England Premier League 2025/2026

MSIMAMO England Premier League 2025/2026

Msimamo England Premier League 2025/2026, England Premier League Standing 2025/26, EPL Standing 2024/26. Ligi Kuu ya EPL 2025/26 ni msimu wa 34 wa Ligi Kuu na msimu wa 127 wa soka la daraja la juu la Uingereza. Klabu ya Liverpool ndio Mabingwa watetezi, wakiwa wameshinda taji lao la pili la Premier League (na taji la […]

Filed in Michezo by on 09.11.2025 0 Comments
MSIMAMO PBZ Premier League 2025/2026

MSIMAMO PBZ Premier League 2025/2026

MSIMAMO PBZ Premier League 2025/2026 Ligi Kuu ya Zanzibar ambayo inajulikana kama Ligi Kuu ya PBZ, ni Ligi ya daraja la juu la Chama cha Soka Zanzibar. PBZ Premier League ilianzishwa kwa mara ya kwanza mnamo 1926 na ikawa rasmi Ligi Kuu mwaka 1981. Hapa chini tumekuwekea Msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar/PBZ Premier League […]

Filed in Michezo by on 09.11.2025 0 Comments
MSIMAMO NBC Championship 2025/2026

MSIMAMO NBC Championship 2025/2026

MSIMAMO NBC Championship 2025/2026 Ligi ya Daraja la Kwanza, maarufu NBC Championship Tanzania, ni moja ya michuano inayovutia mashabiki wengi nchini Tanzania. Ligi ya Championship ni ya pili kwa ukubwa nchini Tanzania nyuma ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premier League), na inatoa nafasi kwa timu kuonyesha vipaji na Kupanda Daraja kwenda Ligi Kuu […]

Filed in Michezo by on 09.11.2025 0 Comments
MSIMAMO NBC Premier League 2025/2026

MSIMAMO NBC Premier League 2025/2026

MSIMAMO NBC Premier League 2025/2026 Ligi Kuu ya NBC Premier League Msimu wa 2025/2026 imenza rasmi tarehe 17 September 2025 na inatarajiwa kutamatika tarehe 23 May 2026. Klabu ya Young Africans ya Jijini Dar Es Salaam ndio Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo wakibeba Ubingwa wa Msimu wa 2024/2025 Kwa jumla ya pointi 82 mbele ya […]

Filed in Michezo by on 09.11.2025 0 Comments
RATIBA ya Yanga Hatua ya Makundi CAF Champions League 2025/2026

RATIBA ya Yanga Hatua ya Makundi CAF Champions League 2025/2026

RATIBA ya Yanga Hatua ya Makundi CAF Champions League 2025/2026RATIBA ya Yanga Hatua ya Makundi CAF Champions League 2025/2026 Klabu ya Young Africans itaanzia nyumbani dhidi ya AS Far na kumalizia nyumbani dhidi ya JS Kabylie kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2025/2026) Ratiba Kamili ya Kundi B CAF Champions […]

Filed in Michezo by on 04.11.2025 0 Comments
RATIBA ya Simba Hatua ya Makundi Champions League 2025/2026

RATIBA ya Simba Hatua ya Makundi Champions League 2025/2026

RATIBA ya Simba Hatua ya Makundi Champions League 2025/2026 Klabu ya Simba SC itaanzia nyumbani dhidi ya Atlético Petróleos na kumalizia nyumbani dhidi ya Stade Malien kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2025/2026). Ratiba Kamili ya Mechi Za Kundi D CAF Champions League 2025/2026 21-23 November 2025 ES Tunis vs […]

Filed in Michezo by on 04.11.2025 0 Comments
DROO ya CAF Confederation Cup 2025/2026 hatua ya Makundi

DROO ya CAF Confederation Cup 2025/2026 hatua ya Makundi

DROO ya CAF Confederation Cup 2025/2026 hatua ya Makundi Droo ya hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF Confederation Cup 2025/2026) imefanyika Leo Jumatatu tarehe 3 November 2025 huko Afrika Kusini. Katika droo hiyo Kutakuwa na Derby ya Misri baada ya Zamalek na Al Masry kupangwa Kundi moja (Kundi D) Pamoja na […]

Filed in Michezo by on 03.11.2025 0 Comments
DROO ya CAF Champions League Hatua ya Makundi 2025/2026

DROO ya CAF Champions League Hatua ya Makundi 2025/2026

DROO ya CAF Champions League Hatua ya Makundi 2025/2026 Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeendesha na kukamilisha Droo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika studio za Mshirika wa CAF Broadcast Partner SuperSport mjini Johannesburg leo Jumatatu ya November 03/2025. Katika droo hiyo timu za RS Berkane na Pyramids FC […]

Filed in Michezo by on 03.11.2025 0 Comments
SIMBA Yapangwa Kundi D CAF Champions League 2025/2026

SIMBA Yapangwa Kundi D CAF Champions League 2025/2026

SIMBA Yapangwa Kundi D CAF Champions League 2025/2026 Klabu ya Simba imepangwa Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na miamba ya Tunisia Espérance Sportive de Tunis, Atlético Petróleos de Luanda ya Angola Pamoja na Stade Malien ya Mali. Droo ya Michuano hiyo imepangwa leo mchana Mjini Cairo, Misri. Hatua ya Makundi itaanza wiki ya […]

Filed in Michezo by on 03.11.2025 0 Comments
YANGA Yapangwa Kundi B CAF Champions League 2025/2026

YANGA Yapangwa Kundi B CAF Champions League 2025/2026

YANGA Yapangwa Kundi B CAF Champions League 2025/2026 Droo ya hatua ya Makundi ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF Champions League 2025/2026) imefanyika Leo Jumatatu tarehe 3 November 2025 huko Afrika Kusini. Klabu ya Yanga Katika droo hiyo imepangwa Kundi B Pamoja na miamba ya soka Afrika Ahly ya Misri. Timu nyingine […]

Filed in Michezo by on 03.11.2025 0 Comments

Magazetini Leo

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 14 November 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 14 November 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 14 November 2025 Waziri Mkuu mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema Kuwa Serikali yake itasimamia utekelezaji wa mpango mkakati wa ajira milioni nane kwa vijana, kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za umma na binafsi. Akizungumza Alhamisi ya Novemba 13, 2025, bungeni jijini Dodoma wakati akitoa maneno […]

Filed in Magazetini Leo by on 14.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumatano 12 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 12 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 12 November 2025 Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam imepanga kutoa uamuzi wa uhalali wa hati ya kesi ya uhaini inayomkabili mfanyabiashara Jenifer Jovin (26), maarufu Niffer na wenzake 21, Novemba 25, 2025. Mahakama hiyo imepanga tarehe hiyo kutoa uamuzi huo, Jumanne, Novemba 11, 2025, baada ya kukamilisha usikilizwaji wa […]

Filed in Magazetini Leo by on 12.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumanne 11 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 11 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 11 November 2025 Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wabunge sita kwa mamlaka aliyonayo chini ya Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba ya Tanzania inayompa mamlaka ya kuteua wabunge 10. Taarifa ya uteuzi wa wabunge hao imetolewa, Jumatatu Novemba 10, 2025 na kutiwa saini na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses […]

Filed in Magazetini Leo by on 11.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumatatu 10 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 10 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 10 November 2025 Wanafunzi wa kidato cha pili takribani 898, 755 wanatarajia kufanya mtihani wa upimaji wa kitaifa (FTNA) Leo Novemba 10, 2025, hadi Novemba 20,2025 katika shule za sekondari 6,238 Tanzania Bara. Kati ya wanafunzi hao waliosajiliwa kufanya mtihani huo 889,266 ni wanafunzi wa shule ambapo wavulana ni 396,383 sawa […]

Filed in Magazetini Leo by on 10.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumapili 09 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili 09 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili 09 November 2025 Jeshi la Polisi nchini limetoa taarifa kufuatia matukio ya vurugu, uporaji mali na uvunjifu wa amani yaliyotokea Oktoba 29, 2025 nchini na kubainisha kuwa baadhi ya watu wanaodaiwa kuhusika na matukio hayo tayari wamekamatwa na kufikishwa mahakamani, huku msako mkali ukiendelea kuwabaini wengine waliopanga, kuratibu na kutekeleza vitendo […]

Filed in Magazetini Leo by on 09.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumamosi 08 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 08 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 08 November 2025 Watu 95 wamepandishwa kizimbani jioni ya leo tarehe 7 November 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo uhaini. Washtakiwa hao wanafanya jumla ya watu waliofikishwa mahakamani hapo kwa siku ya leo ambao wanakabiliwa na kesi za uhaini kuwa 240 ikiwemo Mfanyabiashara Jenifer Jovin […]

Filed in Magazetini Leo by on 08.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Ijumaa 07 October 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 07 October 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 07 October 2025 LINK MPYA INAYOFUNGUKA HARAKA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 MIKOA YOTE

Filed in Magazetini Leo by on 07.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Alhamisi 06 October 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 06 October 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 06 October 2025 MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ndiye atamsaidia Miguel Gamondi katika benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’. Gamondi alitangazwa kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars baada ya mkataba wa Hemed Suleiman ‘Morocco’ kusitishwa. Habari kutoka chanzo […]

Filed in Magazetini Leo by on 06.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumatano 05 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 05 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 05 November 2025

Filed in Magazetini Leo by on 05.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumatano 29 October 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 29 October 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 29 October 2025

Filed in Magazetini Leo by on 29.10.2025 0 Comments

Elimu

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo na Tafiti  Ubalozi wa Tanzania nchini Japan

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo na Tafiti  Ubalozi wa Tanzania nchini Japan

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo na Tafiti  Ubalozi wa Tanzania nchini Japan FURSA MBALIMBALI ZA UFADHILI WA MASOMO NA TAFITI ZILIZOPO NCHINI JAPAN (SCHOLARSHIPS FOR INTERNATIONAL STUDENTS IN JAPAN) Ubalozi unapenda kutoa taarifa kuhusu uwepo wa fursa mbalimbali za ufadhili wa masomo na tafiti nchini Japan, zinazotolewa na Serikali ya Japan na wadau wengine wa […]

Filed in Elimu by on 12.11.2025 0 Comments
MKATABA wa Ufadhili wa Mtumishi Kuhudhuria Masomo ya Kujiendeleza Kitaaluma

MKATABA wa Ufadhili wa Mtumishi Kuhudhuria Masomo ya Kujiendeleza Kitaaluma

MKATABA wa Ufadhili wa Mtumishi Kuhudhuria Masomo ya Kujiendeleza Kitaaluma Mkataba huu utatumika endapo Mfadhiliwa atahudhuria masomo kwa kozi ya muda wa zaidi ya miezi tisa kwa kufadhiliwa gharama zote au sehemu ya gharama za mafunzo na Serikali. Mfadhiliwa anayeenda kusoma kozi (za aina yoyote) za muda mrefu za elimu ya juu ndani na nje […]

Filed in Elimu by on 11.11.2025 0 Comments
MAJINA ya Wataalam wa Afya Waliopata Ufadhili wa Masomo Ngazi za Ubingwa na Ubobezi 2025/2026

MAJINA ya Wataalam wa Afya Waliopata Ufadhili wa Masomo Ngazi za Ubingwa na Ubobezi 2025/2026

MAJINA ya Wataalam wa Afya Waliopata Ufadhili wa Masomo Ngazi za Ubingwa na Ubobezi 2025/2026 Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Mpango wa Ufadhili wa Samia Health Super Specialization Scholarship Program imeendelea kufanya mageuzi makubwa ndani ya Sekta ya Afya, lengo likiwa ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za matibabu hasa ya kibingwa na bobezi […]

Filed in Elimu by on 11.11.2025 0 Comments
UFADHILI wa Samia Scholarship Extended\nDS\/ AI+) Fani Za Sayansi ya Data, Akili Unde na Sayansi Shirikishi 2025/2026

UFADHILI wa Samia Scholarship Extended\nDS\/ AI+) Fani Za Sayansi ya Data, Akili Unde na Sayansi Shirikishi 2025/2026

UFADHILI wa Samia Scholarship Extended\nDS\/ AI+) Fani Za Sayansi ya Data, Akili Unde na Sayansi Shirikishi 2025/2026 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) inatekeleza programu maalum ya SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP DS/AI+ inayolenga kuongeza na kukuza ujuzi wa vijana wa Kitanzania katika fani za Sayansi ya Data, […]

Filed in Elimu by on 09.11.2025 0 Comments
VYUO Kufunguliwa 17 November 2025

VYUO Kufunguliwa 17 November 2025

VYUO Kufunguliwa 17 November 2025 Baada ya kusogezwa mbele kwa ratiba ya kufungua taasisi za elimu ya juu kufuatia vurugu zilizotokea Oktoba 29, Serikali hatimaye imetangaza tarehe mpya ya kurejea vyuoni kwa wanafunzi. Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iliyotolewa leo Novemba 8, 2025, vyuo vyote vya umma na binafsi […]

Filed in Elimu by on 08.11.2025 0 Comments
WANAFUNZI 66987 Waliopata Mkopo Awamu ya Pili 2025/2026

WANAFUNZI 66987 Waliopata Mkopo Awamu ya Pili 2025/2026

WANAFUNZI 66987 Waliopata Mkopo Awamu ya Pili 2025/2026 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Novemba 7,2025 imetoa awamu ya pili ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 66,987. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatao: Wanafunzi 43,562 wa shahada ya awali na wanafunzi 1,179 wa stashahada waliopangiwa mikopo kiasi […]

Filed in Elimu by on 07.11.2025 0 Comments
SIPA Loan Allocation Status

SIPA Loan Allocation Status

SIPA Loan Allocation Status, Mfumo wa Maombi ya Mkopo OLAMS SIPA Login HESLB. Student’s Individual Permanent Account (SIPA) is the personal account for the higher education loan application for the students who need to join various universities in Tanzania. The government of Tanzania use to provide loans to the students who admitted to join different […]

Filed in Elimu by on 07.11.2025 0 Comments
MATOKEO Darasa la Saba 2025

MATOKEO Darasa la Saba 2025

MATOKEO Darasa la Saba 2025 Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza Matokeo ya Mitihani wa Darasa la Saba uliofanyika kuanzia Septemba 10, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo, Jumatano Novemba 5, 2023, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said Ally Mohamed. Jumla ya watahiniwa 1,172,279 walishiriki katika mtihani huo, ambapo wavulana walikuwa 535,138 sawa na […]

Filed in Elimu by on 05.11.2025 0 Comments
MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Simiyu

MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Simiyu

MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Simiyu Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza Matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) Mwaka 2025 Kwa Mkoa wa Simiyu. Ili kuona Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Simiyu tafadhali bonyeza link hapa chini. MATOKEO DARASA LA SABA 2025 SIMIYU

Filed in Elimu by on 05.11.2025 0 Comments
MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Songwe

MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Songwe

MATOKEO ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Songwe Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza Matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) Mwaka 2025 Kwa Mkoa wa Songwe. Ili kuona Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Songwe tafadhali bonyeza link hapa chini. MATOKEO DARASA LA SABA 2025 SONGWE

Filed in Elimu by on 05.11.2025 0 Comments

Makala

JINSI ya Kuwasilisha Changamoto Zako Ajira Portal

JINSI ya Kuwasilisha Changamoto Zako Ajira Portal

JINSI ya Kuwasilisha Changamoto Zako Ajira Portal Jinsi ya kutuma barua pepe (email) kwaajili ya kuwasilisha Changamoto, tuma taarifa hizi. Majina yako kamili matatu yanayosomeka kwenye NIDA Namba yako ya NIDA. Maelezo mafupi kuhusu changamoto yako. Changamoto ya kuomba kazi wasilisha nafasi unayoshindwa kuomba ukitaja na muajiri kama ilivyoandikwa Tuma barua pepe yako kwenda ict@ajira.go.tz […]

Filed in Makala by on 21.10.2025 0 Comments
JUKUMU la Karani Mwogoza Wapiga Kura

JUKUMU la Karani Mwogoza Wapiga Kura

JUKUMU la Karani Mwogoza Wapiga Kura Karani Mwongoza Wapiga Kura ana jukumu la kuhakikisha Mpiga Kura anaelekezwa vizuri ndani ya Kituo cha kupigia kura bila usumbufu au mkanganyiko wowote. Kupitia Makala hii hapa chini tumekuwekea Majukumu Muhimu ya Karani Mwongoza Wapiga Kura Kuwapokea wapiga kura wanapofika kituoni. Kuwaelekeza wapiga kura kwenye sehemu sahihi kwa utaratibu […]

Filed in Makala by on 20.10.2025 0 Comments
JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi Kupitia Ajira Portal Mfumo wa Ajira wa Serikali ni Mfumo unaopokea Maombi Mbalimblai kila Siku kwa nafasi zinazotangazwa na sekretarieti ya ajira UTUMISHI na Utawala Bora. Katika Makala hii Nijuze Habari imekuandalia namna na Jinsi ya Kujisajili Katika Tovuti ya Ajira Tanzania portal.ajira.go.tz Pamoja na Jinsi ya Kutuma Maombi […]

Filed in Ajira, Makala by on 19.10.2025 0 Comments
VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi Sheria ya Taasisi za Kazi, Sura 300 pamoja na mambo mengine, imempa mamlaka Waziri mwenye dhamana na masuala ya kazi kuunda Bodi ya Kima cha Chini cha Mshahara kwaajili ya kufanya utafiti na kushauri kuhusu viwango vya chini vya mshahara pamoja na masharti mengine ya kazi. Itakumbukwa kuwa […]

Filed in Makala by on 17.10.2025 0 Comments
MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal

MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal

MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal Barua ya kuomba kazi ni waraka ambao mara nyingi husomwa kabla ya waraka mwingine wowote unaoambatanishwa katika uombaji Kazi ambazo ni lazima uandike Barua. Ni vyema barua hii ikaandaliwa kwa umakini, huku ikijaribu kugusa kwa ufupi mambo yaliyoonekana kwenye wasifu binafsi. Haya ni Mambo ya Kuzingatia Katika […]

Filed in Makala by on 17.10.2025 0 Comments
JINSI ya Kupata TIN Number Online

JINSI ya Kupata TIN Number Online

JINSI ya Kupata TIN Number Online OTS TRA ni utaratibu uliobuniwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kurahisisha au kupunguza muda wa kusubiri kwa watu wanaotaka namba za Utambulisho za Mlipakodi TIN. TRA hutumia huduma ya teknolojia ya mtandaoni kuwawezesha watu walio na Upatikanaji wa Mtandao kufanya Maombi ya TIN namba zote mtandaoni katika […]

Filed in Makala by on 01.09.2025 0 Comments
JINSI ya Kupata Loss report Online bila kwenda Kituo Cha Polisi

JINSI ya Kupata Loss report Online bila kwenda Kituo Cha Polisi

JINSI ya Kupata Loss report Online bila kwenda Kituo Cha Polisi Loss Report ni taarifa ya upotevu wa Mali au nyaraka ambayo hutolewa na Jeshi la Polisi nchini Tanzania mara mwananchi anapotoa taarifa ya upotevu wa mali ili aweze kupata msaada wa kuipata mali yake au kupewa nyingine kama vile kitambulisho, Kadi au Simu na […]

Filed in Makala by on 01.09.2025 0 Comments
Jiunge na Magroup ya WhatsApp Tanzania

Jiunge na Magroup ya WhatsApp Tanzania

Jiunge na Magroup ya WhatsApp Tanzania Magroup ya WhatsApp Tanzania ni Makundi/Vikundi vya WhatsApp vya kijamii vinavyoruhusu Watanzania kuungana, kushiriki na kuwasiliana kuhusu mada mbalimbali kama vile mapenzi, biashara, kazi, kubeti, muziki na taarifa Mbalimbali za kila Siku. Sababu za wewe Kujiunga na Vikundi hivi vya WhatsApp ni kama ilivyoanishwa hapa chini. Kuweza Kutafuta nafasi […]

Filed in Makala by on 21.08.2025 3 Comments
SAMPLE ya Barua ya Kuomba Ajira Za Magereza

SAMPLE ya Barua ya Kuomba Ajira Za Magereza

SAMPLE ya Barua ya Kuomba Ajira Za Magereza Mfano wa Barua ya maombi ya Ajira Za Jeshi la Magereza. Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, ametangaza nafasi za ajira kwa Vijana wa Kitanzania wenye Elimu ya Kidato cha Nne (Form IV) na wenye ujuzi katika fani mbalimbali kwa ngazi ya Stashahada na Shahada kama zilivyoainishwa […]

Filed in Makala by on 16.08.2025 0 Comments
eRITA Muongozo wa Uhakiki Wa Vyeti Vya Kuzaliwa na Vifo

eRITA Muongozo wa Uhakiki Wa Vyeti Vya Kuzaliwa na Vifo

eRITA Muongozo wa Uhakiki Wa Vyeti Vya Kuzaliwa na Vifo Uhakiki unafanyika kupitia mfumo wa eRITA pekee. Walio na VYETI VYA ZAMANI vilivyochapwa kwa typewriter watalazimika kwanza kupata vyeti vya kidijitali kwa kufuata hatua namba 1-6 hapo chini na baada ya hapo achague OLD to NEW. Baada ya kukamilisha hatua hiyo na kupata cheti kipya […]

Filed in Makala by on 16.07.2025 0 Comments