Ajira

NAFASI Za Kazi Jubilee Insurance

NAFASI Za Kazi Jubilee Insurance

NAFASI Za Kazi Jubilee Insurance Jubilee Insurance ilianzishwa mwaka wa 1937 huko Mombasa nchini Kenya na ilipata umaarufu haraka kwa ubora wake katika maisha na huduma za bima ya jumla. Ikiungwa mkono na Mfuko wa Maendeleo ya Kiuchumi wa Aga Khan (AKFED) ilipata imani kutoka kwa wateja wa Afrika Mashariki kupitia huduma ya haraka, ya […]

Filed in Ajira by on 15.01.2026 1 Comment
NAFASI Za Kazi Taifa Gas Limited

NAFASI Za Kazi Taifa Gas Limited

NAFASI Za Kazi Taifa Gas Limited Taifa Gas Tanzania Limited ni kampuni kubwa ya Liquefied Petroleum Gas (LPG) nchini Tanzania, inayojulikana kwa kituo chake kikubwa cha kuhifadhi na kujaza jijini Dar es Salaam.. Hapo awali ilijulikana kama Mihan Gas Company Limited, ilianzishwa mwaka 2005 na baadae ikabadilishwa na kuwa Taifa Gas. Kampuni hiyo inaangazia mauzo […]

Filed in Ajira by on 15.01.2026 5 Comments
NAFASI Za Kazi Tabora Municipal Council

NAFASI Za Kazi Tabora Municipal Council

NAFASI Za Kazi Tabora Municipal Council Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (05) katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF YA TANGAZO HAPA

Filed in Ajira by on 15.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi Kilolo District Council

NAFASI Za Kazi Kilolo District Council

NAFASI Za Kazi Kilolo District Council Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuomba nafasi (08) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa […]

Filed in Ajira by on 15.01.2026 0 Comments
NAFASI 15 Za Kazi BFS Microfinance Limited

NAFASI 15 Za Kazi BFS Microfinance Limited

NAFASI 15 Za Kazi BFS Microfinance Limited ✅Position: Experienced Recovery Officers – 5 Positions Based in Mwanza Responsibilities;  Recovery officer is responsible for recoveries of outstanding debts as he/she will be assigned. Develop recovery strategy for each case and follow up implementation of the approved  strategy to ensure maximum recoveries are made in line with the business […]

Filed in Ajira by on 14.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi CVPeople Tanzania

NAFASI Za Kazi CVPeople Tanzania

NAFASI Za Kazi CVPeople Tanzania CVPeople Tanzania iliyoanza mwaka 2014 inatoa huduma za Vipaji na Kuajiri, CVPeople Tanzania ilimaliza ushirikiano wake na CVPeople Africa na sasa inafanya kazi kwa kujitegemea ndani ya nchi. CVPeople Tanzania inawaalika watu wenye nia, ari Pamoja na sifa stahiki kujaza nafasi Mbalimbali zilizoainishwa Katika Tangazo hili la Ajira. Nafasi Mpya […]

Filed in Ajira by on 14.01.2026 0 Comments
JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi Kupitia Ajira Portal Mfumo wa Ajira wa Serikali ni Mfumo unaopokea Maombi Mbalimblai kila Siku kwa nafasi zinazotangazwa na sekretarieti ya ajira UTUMISHI na Utawala Bora. Katika Makala hii Nijuze Habari imekuandalia namna na Jinsi ya Kujisajili Katika Tovuti ya Ajira Tanzania portal.ajira.go.tz Pamoja na Jinsi ya Kutuma Maombi […]

Filed in Ajira, Makala by on 14.01.2026 0 Comments
MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba

MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba

MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba Kuingia Ndani ya Mfumo huu lazima uwe na namba ya NIDA au barua pepe uliyotumia kujisajili kama jina la mtumiaji (username) Kwa wale ambao washajisajili Katika Mfumo huu.     Maelekezo Kwa Waombaji wapya  Tafadhali chagua aina ya maombi ya ajira kama ni AFYA au ELIMU Kama ni muombaji mpya bofya […]

Filed in Ajira, Makala by on 14.01.2026 0 Comments
NAFASI 1500 Za Kujitolea Kwa Walimu wa Shule za Sekondari 2026

NAFASI 1500 Za Kujitolea Kwa Walimu wa Shule za Sekondari 2026

NAFASI 1500 Za Kujitolea Kwa Walimu wa Shule za Sekondari 2026 Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM –TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu “Global Partnership for Education Teacher Support Programme(GPE – TSP)” inatekeleza afua mbalimbali ikiwemo kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea (engagement of volunteer teachers). […]

Filed in Ajira by on 14.01.2026 0 Comments
NAFASI 201 Za Walimu Daraja la III C Somo la Fizikia MDAs & LGAs

NAFASI 201 Za Walimu Daraja la III C Somo la Fizikia MDAs & LGAs

NAFASI 201 Za Walimu Daraja la III C Somo la Fizikia MDAs & LGAs ✅MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) – Nafasi 201 MAJUKUMU YA KAZI Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia. Kufundisha, […]

Filed in Ajira by on 14.01.2026 0 Comments

Kuitwa Kazini

KUITWA Kazini UTUMISHI 14/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 14/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 14/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 04-01-2025 na tarehe 22-12-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 15.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 13/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 13/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 13/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 14-12-2024 na tarehe 05-01-2025 Pamoja na tarehe 22-12-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 14.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 09/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 09/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 09/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 11-01-2025 na tarehe 28-11-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 09.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 08/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 08/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 08/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 14-01-2025 na tarehe 21-11-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 08.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 05/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 05/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 05/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 05-01-2025 na tarehe 18-12-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 05.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 03/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 03/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 03/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 29-01-2025 na tarehe 24-10-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 03.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 02 January 2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 02 January 2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 02 January 2025 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 23-04-2025 na tarehe 24-10-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 02.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 30/12/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 30/12/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 30/12/2025 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 02-01-2025 na tarehe 24-10-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 30.12.2025 0 Comments
KUITWA Kazini Bunge la Tanzania

KUITWA Kazini Bunge la Tanzania

KUITWA Kazini Bunge la Tanzania Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika Tangazo hili kwamba, walifaulu kushinda waombaji kazi wenzao kwenye usaili uliofanyika tarehe 20 – 23 Disemba, 2025 katika Ofisi za Bunge Dodoma. Hivyo, wahusika wanaarifiwa kwamba wanatakiwa kuripoti kazini Ofisi ya Bunge Dodoma ifikapo […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 30.12.2025 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 23/12/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 23/12/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 23/12/2025 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 23-04-2025 na tarehe 19-11-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Filed in Kuitwa Kazini by on 23.12.2025 0 Comments

Michezo

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA kupitia Mradi wa YEFFA

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA kupitia Mradi wa YEFFA

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA kupitia Mradi wa YEFFA TANGAZO MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA VETA KWA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA KOZI ZA MUDA MFUPI KUPITIA MRADI YEFFA Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inapenda kuutangazia umma kuwa uchaguzi wa walioomba kujiunga na elimu na mafunzo ya ufundi […]

Filed in Elimu, Michezo by on 15.01.2026 0 Comments
LIBASSE Gueye Kutua Simba SC

LIBASSE Gueye Kutua Simba SC

LIBASSE Gueye Kutua Simba SC Klabu ya Simba inatajwa kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa klabu Teungueth FC, Libasse Gueye mwenye Umri wa miaka 22. Nyota huyo ambaye alikuwemo kwenye kikosi cha Senegal kilichoshiriki michuano ya CHAN 2024 iliyofanyika nchini mwaka jana, anatarajiwa kuwasili nchini muda wowote. Kocha mpya wa Simba Steve Barker amehitaji maboresho […]

Filed in Michezo, Usajili by on 15.01.2026 0 Comments
BEDIA Ikamba Kutua Simba SC

BEDIA Ikamba Kutua Simba SC

BEDIA Ikamba Kutua Simba SC Klabu ya Simba inatajwa kufanya mazungumzo na mshambuliaji raia wa DR Congo, Bedia Ikamba, Kutoka Polisi ya Uganda ambaye ameonyesha ubora katika kufunga mabao pengine zaidi ya Steven Mukwala. Taarifa zinasema Simba imefanya Mazungumzo na Ikamba ambapo sasa faili la mshambuliaji huyo limepelekwa kwa kocha Steven Barker akisubiriwa kutoa majibu […]

Filed in Michezo, Usajili by on 15.01.2026 0 Comments
BARAKA Mwangosi Kutua Simba SC

BARAKA Mwangosi Kutua Simba SC

BARAKA Mwangosi Kutua Simba SC Baada ya kuridhishwa na kiwango alichoonyesha kwenye michuano ya kombe la Mapinduzi, klabu ya Simba inatajwa kufungua mazungumzo na Mbeya City kwaajili ya kumsajili mshambuliaji Baraka Mwangosi. Simba ilimpa Mwangosi nafasi ya kufanya majaribio visiwani Zanzibar ili kujiridhisha na uwezo wake. Inaelezwa kuwa benchi la ufundi la Simba linaloongozwa na […]

Filed in Michezo by on 15.01.2026 0 Comments
KHADIM Diaw Kutua Simba SC

KHADIM Diaw Kutua Simba SC

KHADIM Diaw Kutua Simba SC Klabu ya Simba imetajwa kuwa Katika hatua nzuri Kukamilisha Usajili wa Mlinzi wa kushoto raia wa Mauritania, Khadim Diaw. Diaw mwenye Umri wa miaka 27 anatua Simba akiwa mchezaji huru baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Al Hilal FC. Katika dirisha lililopita, Simba ilifanya jitihada kubwa za kumsajili […]

Filed in Michezo, Usajili by on 15.01.2026 0 Comments
NDONGANI Samba Gilbani Kutua Simba SC

NDONGANI Samba Gilbani Kutua Simba SC

NDONGANI Samba Gilbani Kutua Simba SC Klabu ya Simba inatajwa kuwa katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati wa Congo Brazzaville, Ndongani Samba Gilbani mwenye Umri wa Miaka 25 Kutoka Asante Kotoko ya Ghana. Inaelezwa usajli wa beki huyo mahiri ambaye ni nahodha wa Asante Kotoko ni pendekezo la kocha Stave Barker […]

Filed in Michezo, Usajili by on 15.01.2026 0 Comments
KIKOSI Cha Yanga vs Mashujaa FC 19 January 2026

KIKOSI Cha Yanga vs Mashujaa FC 19 January 2026

KIKOSI Cha Yanga vs Mashujaa FC 19 January 2026 Mchezo unaofuata wa Young Africans utakuwa dhidi ya Mashujaa FC tarehe 19 January 2026. Kuelekea mchezo huo ambao utapigwa Kuanzia Saa 10:00 Jioni Nijuze Habari itakuletea Kikosi Cha Yanga kinachoanza dhidi ya Mashujaa FC kabla ya mchezo Kuanza.

Filed in Michezo by on 15.01.2026 0 Comments
KIKOSI Cha Simba SC vs Mtibwa Sugar FC Leo 18 January 2026

KIKOSI Cha Simba SC vs Mtibwa Sugar FC Leo 18 January 2026

KIKOSI Cha Simba SC vs Mtibwa Sugar FC Leo 18 January 2026 Kikosi Cha Simba SC kinachoanza dhidi ya Mtibwa Sugar FC tarehe 18 January 2026 tutakuwekea hapa kabla ya mchezo huo Kuanza.

Filed in Michezo by on 15.01.2026 0 Comments
LAURINDO Dilson Maria Aurelio “DEPU” ni Mwananchi

LAURINDO Dilson Maria Aurelio “DEPU” ni Mwananchi

LAURINDO Dilson Maria Aurelio “DEPU” ni Mwananchi Klabu ya Young Africans imekamilisha Usajili wa mshambuliaji Laurindo Dilson Maria Aurelio “DEPU” raia wa Angola Kutoka Radomiak inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Poland. Depu amewahi kuvitumikia vilabu vya Petro de Luanda ya Angola, Gil Vicente ya Ureno na Vojvodina ya Serbia. Depu pia ameitumikia timu ya […]

Filed in Michezo by on 15.01.2026 0 Comments
MATOKEO Yanga vs Mashujaa FC 19 January 2026

MATOKEO Yanga vs Mashujaa FC 19 January 2026

MATOKEO Yanga vs Mashujaa FC 19 January 2026 Klabu ya Yanga itacheza mchezo wake unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa Fc. Mchezo huo utapigwa Jumatatu ya January 19,2026 katika uwanja wa KMC Complex Kuanzia Saa 10:00 Jioni. Update zote za Kuanzia dakika ya Kwanza hadi ya 90 utazipata hapa hapa Nijuze Habari. […]

Filed in Michezo by on 15.01.2026 0 Comments

Magazetini Leo

KUITWA Kazini UTUMISHI 31/12/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 31/12/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 31/12/2025 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati yatarehe 09-11-2024 na tarehe 24-10-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) […]

Filed in Magazetini Leo by on 31.12.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumanne 09 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 09 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 09 December 2025

Filed in Magazetini Leo by on 09.12.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumapili 07 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili 07 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili 07 December 2025 Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano yasiyo na kikomo yaliyopangwa kufanyika kuanzia December 09, 2025 kwakuwa maandamano hayo hayana sifa na hayakubaliki Kisheria. Akiongea Disemba 05, 2025 Msemaji wa Polisi, David Misime amesema kuwa “Maandamano hayo yanayopewa jina la maandamano ya amani na yasiyo na kikomo yamekosa […]

Filed in Magazetini Leo by on 07.12.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumanne 02 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 02 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 02 December 2025 Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima, amesema kuwa miongoni mwa mambo yanayowasikitisha Watanzania kwa sasa ni kutokiri ukweli kwamba waliouawa wameuawa na nani, huku akihoji kwamba ilikuwaje vyombo vya usalama havikufanikiwa kuzuia mauaji yaliyojitokeza. Akizungumza na Jambo TV, Desemba 1, 2025, […]

Filed in Magazetini Leo by on 02.12.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumatatu 01 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 01 December 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 01 December 2025 Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camilius Wambura kuondoa tamko la kumtafuta Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na badala yake wamwache ajitokeze aendelee na ibada zake ili wajenge umoja wa kitaifa. Hatua hiyo inakuja siku saba baada […]

Filed in Magazetini Leo by on 01.12.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumamosi 29 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 29 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 29 November 2025

Filed in Magazetini Leo by on 29.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Ijumaa 28 November 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 28 November 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 28 November 2025 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), James Kaji amesema kuwa kwa wale wananchi wenye vitambulisho vya NIDA ambavyo vinafutika maandishi sasa wanaweza kuvirudisha na kupewa vitambulisho vipya bure. Kaji ameyasema hayo Novemba 27, 2025 ambapo amesisitiza kuwa wale wote wanaopitia changamoto hiyo wafike na vitambulisho […]

Filed in Magazetini Leo by on 28.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Alhamisi 27 November 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 27 November 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 27 November 2025 Jeshi la Polisi nchini limesema linafanya uchunguzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kutolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya kwa waandishi wa habari kama ushauri kwa wamiliki wa vituo vya mafuta. Kwa mujibu wa taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa Jumatano Novemba 26, […]

Filed in Magazetini Leo by on 27.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumatano 26 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 26 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 26 November 2025

Filed in Magazetini Leo by on 26.11.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumamosi 22 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 22 November 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 22 November 2025 Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba. Kichapo cha mabao 4-3 ambacho timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ imekipata katika mechi ya kimataifa ya kirafiki, Novemba 15, 2025 kinaonekana kuchangia kwa kiasi […]

Filed in Magazetini Leo by on 22.11.2025 0 Comments

Elimu

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA kupitia Mradi wa YEFFA

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA kupitia Mradi wa YEFFA

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA kupitia Mradi wa YEFFA TANGAZO MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA VETA KWA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA KOZI ZA MUDA MFUPI KUPITIA MRADI YEFFA Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inapenda kuutangazia umma kuwa uchaguzi wa walioomba kujiunga na elimu na mafunzo ya ufundi […]

Filed in Elimu, Michezo by on 15.01.2026 0 Comments
MATOKEO ya Darasa la Nne 2025

MATOKEO ya Darasa la Nne 2025

MATOKEO ya Darasa la Nne 2025 Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) linatarajia kutangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne (SFNA 2025) Leo tarehe 10 January 2026. Upimaji huu uliofanyika mwezi Oktoba 2025 ni kipimo muhimu cha kuangalia uwezo wa mwanafunzi katika stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu kabla hajaingia darasa la […]

Filed in Elimu by on 10.01.2026 0 Comments
FOMU Za Maelezo Ya Kujiunga na VETA 2026

FOMU Za Maelezo Ya Kujiunga na VETA 2026

FOMU Za Maelezo Ya Kujiunga na VETA 2026 Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inapenda kuutangazia umma kuwa uchaguzi wa walioomba kujiunga na elimu na mafunzo ya ufundi stadi kwenye vyuo vya VETA kwa muhula unaoanza Januari, 2026 umekamilika kwa awamu ya kwanza. Aidha Awamu ya pili ya waliochaguliwa itatangazwa kuanzia 23 […]

Filed in Elimu by on 28.12.2025 0 Comments
MATOKEO ya Mtihani wa Kidato Cha Nne 2025

MATOKEO ya Mtihani wa Kidato Cha Nne 2025

MATOKEO ya Mtihani wa Kidato Cha Nne 2025 Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) linatarajia kutangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE 2025) uliofanyika mwezi Novemba mwaka 2025. Ili kuona Matokeo yako, tafadhali fuata hatua hizi hapa chini. Bofya Link ya Matokeo Katika tovuti ya NECTA Chagua Mwaka wa Mtihani ambao ni 2025. […]

Filed in Elimu by on 25.12.2025 0 Comments
MFUMO wa Maombi ya Kujiunga VETA (VETMIS)

MFUMO wa Maombi ya Kujiunga VETA (VETMIS)

MFUMO wa Maombi ya Kujiunga VETA (VETMIS) MWONGOZO WA NAMNA YA KUOMBA MAFUNZO YA MUDA MREFU KWA VYUO VYA VETA 2026 KUPITIA MFUMO WA MAOMBI WA VETMIS Hatua ya 1: Fungua Kiungo cha Maombi Bonyeza kiungo hiki: https://vetmis.veta.go.tz/fdc Hatua ya 2: Anza Maombi: Ukurasa wa mwanzo (Welcome Page) utafunguka, Bonyeza “Apply” chini ya sehemu ya […]

Filed in Elimu by on 19.12.2025 0 Comments
FURSA Za Mafunzo ya Ufundi Stadi ya Muda Mfupi – VETA (YEFFA)

FURSA Za Mafunzo ya Ufundi Stadi ya Muda Mfupi – VETA (YEFFA)

FURSA Za Mafunzo ya Ufundi Stadi ya Muda Mfupi – VETA (YEFFA) Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeingia makubaliano ya ushirikiano na taasisi za AMSHA, RUATI, TAMA na MIBOS kupitia Mradi wa Ujasiriamali wa Vijana kwa Mustakabali wa Chakula na Kilimo (Youth Entrepreneurship for the Future of Food and Agriculture -YEFFA). […]

Filed in Elimu by on 19.12.2025 0 Comments
MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA 2026

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA 2026

MAJINA ya Waliochaguliwa Kujiunga na VETA 2026 Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inapenda kuutangazia umma kuwa uchaguzi wa walioomba kujiunga na elimu na mafunzo ya ufundi stadi kwenye vyuo vya VETA kwa muhula unaoanza Januari, 2026 umekamilika kwa awamu ya kwanza. Awamu ya pili ya waliochaguliwa itatangazwa kuanzia 23 Desemba, 2025. […]

Filed in Elimu by on 19.12.2025 0 Comments
RATIBA ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026

RATIBA ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026

RATIBA ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026 Baraza la Mtihani la Taifa (NECTA) limetangaza ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) 2026. Katika tangazo la ratiba la NECTA, mtihani huo utaanza Jumatatu ya tarehe 4 na kumalizika Jumatatu ya tarehe 25 May 2026. Ratiba Kamili ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026 imeambatanishwa hapa […]

Filed in Elimu by on 18.12.2025 0 Comments
NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026 Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden unapenda kuutaarifu umma kuhusu fursa za ufadhili kamili wa masomo ya Shahada ya Uzamili unaotolewa na Taasisi ya Sweden (Swedish Institute – SI). Ufadhili huu unatolewa katika zaidi ya programu 400 za masomo katika nyanja […]

Filed in Elimu by on 15.12.2025 0 Comments
MTAALA Mpya wa Elimu Waanza Rasmi Kidato Cha Nne ni lazima

MTAALA Mpya wa Elimu Waanza Rasmi Kidato Cha Nne ni lazima

MTAALA Mpya wa Elimu Waanza Rasmi Kidato Cha Nne ni lazima Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda ametangaza mabadiliko ya mtaala mpya wa elimu ambapo amesema kuwa kwa sasa tunaondokana na mtaala wa sasa wa ‘7+4+2+3+’ na kwenda kwenye mtaala mpya wa ‘6+4+2 au 3+3+’ ambao elimu ya msingi itaishia darasa la sita huku elimu […]

Filed in Elimu by on 11.12.2025 0 Comments

Makala

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

JINSI ya Kujisajili na Kutuma Maombi Kupitia Ajira Portal Mfumo wa Ajira wa Serikali ni Mfumo unaopokea Maombi Mbalimblai kila Siku kwa nafasi zinazotangazwa na sekretarieti ya ajira UTUMISHI na Utawala Bora. Katika Makala hii Nijuze Habari imekuandalia namna na Jinsi ya Kujisajili Katika Tovuti ya Ajira Tanzania portal.ajira.go.tz Pamoja na Jinsi ya Kutuma Maombi […]

Filed in Ajira, Makala by on 14.01.2026 0 Comments
MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba

MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba

MFUMO Wa Maombi ya Ajira Za Kujitolea/Mkataba Kuingia Ndani ya Mfumo huu lazima uwe na namba ya NIDA au barua pepe uliyotumia kujisajili kama jina la mtumiaji (username) Kwa wale ambao washajisajili Katika Mfumo huu.     Maelekezo Kwa Waombaji wapya  Tafadhali chagua aina ya maombi ya ajira kama ni AFYA au ELIMU Kama ni muombaji mpya bofya […]

Filed in Ajira, Makala by on 14.01.2026 0 Comments
MALIPO na Posho Mpya Za Wanaojitolea 2026

MALIPO na Posho Mpya Za Wanaojitolea 2026

MALIPO na Posho Mpya Za Wanaojitolea 2026 Serikali imeweka utaratibu wa kusimamia malipo na posho kwa Vijana wa Kujitolea wanaofanya kazi ndani ya Taasisi za Umma, kwa lengo la kuhakikisha wanapata msaada wa kujikimu wakati wa kipindi cha kujitolea na kuepusha migogoro ya kiutawala. Utumiaji wa vijana wa kujitolea ndani ya Taasisi za Umma utahusisha […]

Filed in Makala by on 02.01.2026 0 Comments
MWONGOZO wa kujitolea katika Utumishi wa Umma

MWONGOZO wa kujitolea katika Utumishi wa Umma

MWONGOZO wa kujitolea katika Utumishi wa Umma Mwongozo wa kujitolea katika Utumishi wa Umma ni nyenzo muhimu inayoweka utaratibu wa kuzingatiwa kwa Taasisi za Umma na Vijana wanaomaliza Vyuo na kuomba nafasi za kujitolea ili kujipatia ujuzi na uzoefu wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na Serikali wakati wanasubiri kuajiriwa. Kwa kipindi chote kumekuwepo na utaratibu usio […]

Filed in Makala by on 02.01.2026 0 Comments
JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako

JINSI ya Kupata Namba ya NIDA Kwenye Simu yako Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inawataarifu wananchi wote kuwa kwa sasa wanaweza kujua Namba yao ya Utambulisho wa Taifa (NIN) kwa urahisi kupitia ujumbe mfupi wa simu (SMS). Hatua za Kufuata ili Kupata Namba ya NIDA Fungua sehemu ya kutuma ujumbe (SMS) kwenye simu yako. […]

Filed in Makala by on 31.12.2025 0 Comments
MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal

MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal

MFANO wa Barua ya Kuomba Kazi Ajira Portal Barua ya kuomba kazi ni waraka ambao mara nyingi husomwa kabla ya waraka mwingine wowote unaoambatanishwa katika uombaji Kazi ambazo ni lazima uandike Barua. Ni vyema barua hii ikaandaliwa kwa umakini, huku ikijaribu kugusa kwa ufupi mambo yaliyoonekana kwenye wasifu binafsi. Haya ni Mambo ya Kuzingatia Katika […]

Filed in Makala by on 30.12.2025 0 Comments
JINSI ya Kuwasilisha Changamoto Zako Ajira Portal

JINSI ya Kuwasilisha Changamoto Zako Ajira Portal

JINSI ya Kuwasilisha Changamoto Zako Ajira Portal Jinsi ya kutuma barua pepe (email) kwaajili ya kuwasilisha Changamoto, tuma taarifa hizi. Majina yako kamili matatu yanayosomeka kwenye NIDA Namba yako ya NIDA. Maelezo mafupi kuhusu changamoto yako. Changamoto ya kuomba kazi wasilisha nafasi unayoshindwa kuomba ukitaja na muajiri kama ilivyoandikwa Tuma barua pepe yako kwenda ict@ajira.go.tz […]

Filed in Makala by on 21.10.2025 0 Comments
JUKUMU la Karani Mwogoza Wapiga Kura

JUKUMU la Karani Mwogoza Wapiga Kura

JUKUMU la Karani Mwogoza Wapiga Kura Karani Mwongoza Wapiga Kura ana jukumu la kuhakikisha Mpiga Kura anaelekezwa vizuri ndani ya Kituo cha kupigia kura bila usumbufu au mkanganyiko wowote. Kupitia Makala hii hapa chini tumekuwekea Majukumu Muhimu ya Karani Mwongoza Wapiga Kura Kuwapokea wapiga kura wanapofika kituoni. Kuwaelekeza wapiga kura kwenye sehemu sahihi kwa utaratibu […]

Filed in Makala by on 20.10.2025 0 Comments
VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Sekta Binafsi Sheria ya Taasisi za Kazi, Sura 300 pamoja na mambo mengine, imempa mamlaka Waziri mwenye dhamana na masuala ya kazi kuunda Bodi ya Kima cha Chini cha Mshahara kwaajili ya kufanya utafiti na kushauri kuhusu viwango vya chini vya mshahara pamoja na masharti mengine ya kazi. Itakumbukwa kuwa […]

Filed in Makala by on 17.10.2025 0 Comments
JINSI ya Kupata TIN Number Online

JINSI ya Kupata TIN Number Online

JINSI ya Kupata TIN Number Online OTS TRA ni utaratibu uliobuniwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kurahisisha au kupunguza muda wa kusubiri kwa watu wanaotaka namba za Utambulisho za Mlipakodi TIN. TRA hutumia huduma ya teknolojia ya mtandaoni kuwawezesha watu walio na Upatikanaji wa Mtandao kufanya Maombi ya TIN namba zote mtandaoni katika […]

Filed in Makala by on 01.09.2025 0 Comments