KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ikungi District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ikungi District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ikungi District Council
Kwa mujibu wa Tangazo la nafasi za kazi za muda za Watendaji wa Vituo vya kupigia kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 lililotolewa na Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi tarehe 28 Juni, 2025, ifuatayo ni orodha ya Watendaji hao ikiwa Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura, Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura na Makarani Waongozaji Wapiga kura kwa Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi.
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Ikungi District Council
