KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Missenyi District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Missenyi District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Missenyi District Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Missenyi anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili siku ya Jumapili Tarehe 12/10/2025, Shule ya Msingi Bunazi B saa: 2:00 asubuhi.
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Missenyi District Council
