MAGAZETI ya Leo Jumatatu 21 July 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 21 July 2025
MAGAZETI ya Leo Jumatatu 21 July 2025


Watu ambao idadi yao haijafahamika wanahofiwa kufariki Dunia baada ya Meli ya abiria ya KM Barcelona VA, kuwaka moto karibu na kisiwa cha Talise nchini Indonesia July 20,2025.
Video liyosamba kwenye Mitandao ya Kijamii inaonesha baadhi ya Abiria wakiendelea kuruka kutoka kwenye meli inayoungua na kurukia kwenye maji ili kujiokoa huku moto ukizidi kushika kasi na kuiunguza meli.
