Tag: DIARRA Afungiwa na Kutozwa Faini

DIARRA Afungiwa na Kutozwa Faini

Filed in Michezo by on 27.03.2026 0 Comments
DIARRA Afungiwa na Kutozwa Faini

DIARRA Afungiwa na Kutozwa Faini Golikipa wa Klabu ya Yanga, Djigui Diarra amefungiwa kucheza michezo mitatu na kutozwa faini ya Shilingi milioni nne kwa makosa mawili ya kumshambulia Mwamuzi na kuonesha kidole cha kati wakati akitoka uwanjani baada ya mchezo kati Mtibwa Sugar uliochezwa katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Adhabu hiyo imetolewa na Bodi […]

Continue Reading »