Tag: GOLI la Mama CAF 2025/2026 Kuanzia hatua ya awali

GOLI la Mama CAF 2025/2026 Kuanzia hatua ya awali

Filed in Michezo by on 19.09.2025 0 Comments
GOLI la Mama CAF 2025/2026 Kuanzia hatua ya awali

GOLI la Mama CAF 2025/2026 Kuanzia hatua ya awali Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ambaye pia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amezitakia kheri klabu za Tanzania Simba, Yanga, Azam FC pamoja na Singida Black Stars ambazo zinashiriki katika mashindano ya kimataifa barani Afrika ngazi ya klabu Bingwa na Shirikisho. Msigwa […]

Continue Reading »