Tag: KUITWA Kazini UTUMISHI 17/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 17/01/2026

Filed in Kuitwa Kazini by on 18.01.2026 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 17/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 17/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 02-01-2025 na tarehe 22-12-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Continue Reading »