NAFASI Za Kazi Mufindi District Council

NAFASI Za Kazi Mufindi District Council
NAFASI Za Kazi Mufindi District Council
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa fedha 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 na kibali cha ajira mbadala chenye Kumb. Na. FA. 228/613/01H/042 cha tarehe 03 Juni 2025.
Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa ya kutuma maombi ya kazi katika nafasi zilizoanishwa hapa chini kwenye PDF ya Tangazo la Ajira.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
