NAFASI 127 Za Ufadhili wa Masomo Saudi Arabia 2025/2026

NAFASI 127 Za Ufadhili wa Masomo Saudi Arabia 2025/2026
NAFASI 127 Za Ufadhili wa Masomo Saudi Arabia 2025/2026
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inayofuraha kuujulisha Umma kwamba Ufalme wa Saudi Arabia umetoa ufadhili wa masomo 127 wa uzamili kwa wanafunzi wa Kitanzania kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
Masomo haya yatafanyika katika Vyuo Vikuu mbalimbali nchini Saudi Arabia.
Waombaji walio na nia ya Sayansi ya Data, Akili Bandia na Sayansi Shirikishi wanahimizwa sana kuomba.
SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES FROM THE KINGDOM OF SAUDI ARABIA 2025/2026
DONWLOAD PDF YA TANGAZO HAPA
Tags: NAFASI 127 Za Ufadhili wa Masomo Saudi Arabia 2025/2026
