KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Buchosa District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Buchosa District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Buchosa District Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na.1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Buchosa anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili Tarehe 20.10.2025 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Nyehunge kuanzia saa 1:30 Asubuhi.Fika ukiwa na kitambulisho chochote chenye picha yako.
DONWLOAD PDF YA MAJINA HAPA
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Buchosa District Council
