NAFASI Za Kazi FAO Tanzania

Filed in Ajira by on 21.11.2025 2 Comments
Share This Post
NAFASI Za Kazi FAO Tanzania

NAFASI Za Kazi FAO Tanzania

NAFASI Za Kazi FAO Tanzania

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) lililoanzishwa tarehe 16 Oktoba 1945 ni wakala maalumu wa Umoja wa Mataifa unaoongoza juhudi za kimataifa za kushinda njaa na kuboresha lishe na usalama wa chakula.

Makao Makuu ya FAO ambayo husaidia Serikali na Mashirika ya Maendeleo kuratibu shughuli zao ili Kuboresha na kuendeleza Kilimo, Misitu, Uvuvi, na Ardhi na Rasilimali za Maji yapo Roma nchini Italia

Pia FAO hufanya utafiti, hutoa usaidizi wa kiufundi kwa miradi, huendesha programu za elimu na mafunzo, na kukusanya data ya mazao ya kilimo, uzalishaji na maendeleo.

Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) linatafuta watu wenye nia, ari na sifa stahiki kujaza Nafasi za Kazi kama zilizoanishwa hapa chini.

Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka FAO Tanzania.

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Comments (2)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. peter shija john says:

    the position degree in Pharmacia

  2. Barare says:

    I interested to work with fao

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *