NAFASI Za Kazi EGPAF Tanzania

NAFASI Za Kazi EGPAF Tanzania
NAFASI Za Kazi EGPAF Tanzania
The Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation (EGPAF) nchini Tanzania ni shirika la afya ya umma ambalo linafanya kazi ya kutokomeza VVU/UKIMWI kwa watoto kupitia kinga, matibabu, utafiti na utetezi.
EGPAF ni shirika huru, linaloongozwa na taifa linalojulikana nchini kama Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI)
EGPAF inatafuta watu wenye nia, ari pamoja na sifa tajwa kujaza nafasi Mbalimbali zilizoanishwa hapa chini.
TUMA MAOMBI HAPA
