NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Filed in Ajira by on 09.12.2025 0 Comments
Share This Post
NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni wakala mtendaji unaojitegemea chini ya Wizara ya Ujenzi ya Tanzania, iliyoanzishwa mwaka 2002 ili kusimamia majengo na nyumba za umma, kuhakikisha ujenzi, matengenezo na utoaji wa mali za serikali kwa ufanisi, na mamlaka yake yanatokana na Sheria ya Wakala wa Utendaji.

Kupitia Ajira Portal, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) anawatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba ajira katika nafasi 10 Za Madereva Daraja la II.

KUTUMA MAOMBI BOFYA HAPA

Mwisho wa Kutuma Maombi ni tarehe 22/12/2025

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *