NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

Filed in Elimu by on 15.12.2025 0 Comments
Share This Post
NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden unapenda kuutaarifu umma kuhusu fursa za ufadhili kamili wa masomo ya Shahada ya Uzamili unaotolewa na Taasisi ya Sweden (Swedish Institute – SI).

Ufadhili huu unatolewa katika zaidi ya programu 400 za masomo katika nyanja za utawala, afya ya umma, ujasiriamali na ubunifu, sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati na fani nyinginezo.

Ufadhili huu ni wa malipo ya ada, posho ya kila mwezi pamoja na gharama za usafiri.

Ubalozi unawahamasisha Watanzania wote wenye sifa stahiki kuomba ufadhili
huu.

SIFA ZA MWOMBAJI

  • Awe raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Awe ameomba au anaomba programu ya Shahada ya Uzamili
    inayostahiki kwa udhamini wa SI.
  • Awe tayari kulipa ada ya maombi ya masomo kupitia mfumo wa udahili wa vyuo vikuu.
  • Awe na uzoefu wa kazi unaothibitika.
  • Awe na uzoefu wa uongozi kutoka kwa mwajiri wa sasa au wa awali, au kupitia ushiriki katika asasi za kiraia.

UTARATIBU WA MAOMBI

Kwa maelezo au ufafanuzi zaidi, wasiliana na Ubalozi kupitia baruapepe: mailbox@tanemb.se.

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *