KUITWA Kazini Bunge la Tanzania

Filed in Kuitwa Kazini by on 30.12.2025 0 Comments
Share This Post
KUITWA Kazini Bunge la Tanzania

KUITWA Kazini Bunge la Tanzania

KUITWA Kazini Bunge la Tanzania

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika Tangazo hili kwamba, walifaulu kushinda waombaji kazi wenzao kwenye usaili uliofanyika tarehe 20 – 23 Disemba, 2025 katika Ofisi za Bunge Dodoma.

Hivyo, wahusika wanaarifiwa kwamba wanatakiwa kuripoti kazini Ofisi ya Bunge Dodoma ifikapo tarehe 05 Januari, 2026 kwa ajili ya kukamilisha taratibu za ajira zao na kupangiwa kazi.

Waombaji kazi wanaoitwa kuripoti kazini wanatakiwa kufika wakiwa na vyeti halisi vya masomo kuanzia Kidato cha IV na kuendelea kulingana na sifa za kazi, Cheti cha Kuzaliwa, Kitambulisho cha Taifa, Cheti halisi cha Ndoa (kama ipo); na Vyeti halisi vya kuzaliwa mtoto/watoto (kama wapo).

Kwa ambao masharti ya kazi zao yanawataka kusajiliwa na Mabaraza au Bodi zao za Kitaaluma wanatakiwa kufika wakiwa na vyeti vyao vya usajili pamoja na leseni halali (valid licence) za kufanyia kazi.

DONWLOAD PDF YA MAJINA

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *