KUITWA Kazini UTUMISHI 13/01/2026

KUITWA Kazini UTUMISHI 13/01/2026
KUITWA Kazini UTUMISHI 13/01/2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 14-12-2024 na tarehe 05-01-2025 Pamoja na tarehe 22-12-2025
kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.
Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye
kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
