NAFASI Za Ufadhili wa Masomo nchini Indonesia 2026/2027

Filed in Elimu by on 07.03.2026 0 Comments
Share This Post
NAFASI Za Ufadhili wa Masomo nchini Indonesia 2026/2027

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo nchini Indonesia 2026/2027

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo nchini Indonesia 2026/2027

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Wizara imepokea nafasi za ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kwa Watumishi wa Umma kutoka Shirika la Misaada la Indonesia kwa mwaka wa Masomo 2026-2027 kwenye vyuo mbalimbali nchini humo.

Ili kukamilisha maombi ya “Scholarship” hizo, muombaji awasilishe fomu ya maombi kupitia barua pepe maalum iliyoandaliwa kupokea maombi husika ambayo ni tias.scholarship@nje.go.tz
Kwa taarifa zaidi kuhusu fursa hizo tembelea kiunganishi cha https://tias.kemenkeu.go.id

Wizara inapenda kuwahimiza Watumishi wenye sifa kuchangamkia fursa hizo.

Mwisho wa kufanya maombi ni Machi 30, 2026.

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *